Wakuu jaribuni basi ku balance mzani

Wakuu jaribuni basi ku balance mzani

Sasa wewe unasimama wapi mkuu 'Mbaga Jr'

Hujawahi sifia chama hata siku moja?

Ninakubaliana na unapowataja "wagonjwa wa akili" kama hao uliowaorodhesha hapo juu. Lakini kweli huoni tofauti ya hao na hiki kinachotokea sasa?
Hata ungekuwa unaishi kwenye pango kusikofika mwanga, na ukatokea kufika mahali hapa sasa hivi; kama ni binaadam wa kawaida bila shaka utasisimkwa tu na unachokiona mbele yako.

Sasa tueleze wewe, huko upande wa pili, CCM, ni kipi kinakusisimua wewe na hao hapo uliowataja kwa majina?
Naona anatetea upuuzi wake kwa wivu mkubwa sana😂
 
Hakuna mtu mwenye akili timamu ataendelea kuunga mkono kinacho fanywa na mboga mboga, wamebaki kuungwa mkono na maskini wa akili
IMG_1280.jpeg
 
Mkuu Mshana Jr ,tumekuelewa
ila kwa sisi wa longi tunajua all the games people play,1995 ilikuwa hivi kwa NCCR Mageuzi na Lyatonga,2015 was the same kwa Chadema na moto wa Lowassa.

The game ya siasa zetu haichezwi kwenye zile dakika 90 uwanjani,the game inachezwa mezani!。

Huyu Maza kaingia na nia njema ya dhati,kaitisha timu zote zikae mezani,tujadili kwa pamoja the rules of the game,watu mkakataa!,akina sisi watazamaji wazuri wa huu mchezo,tukawashauri Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.
mkagoma kwa kisingizio hamuwezi kukubali kukaa mezani huku mnene wenu yuko 'pahala salama'!。Tukamuombea msamaha Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? 。 Huyu mama alivyo Rahimu na asivyo mtu wa hiyana,akatusikiliza akatenda Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito! mnene wenu sio tuu akaachiwa,bali pia mapene mkavutishwa,mkamwagiwa!,ndipo mkakaa mezani!,mkakubaliana kugawana nusu mkate,mambo yalikuwa yanakwenda safi!

Mara Mbelgiji katua nchini akawavuruga!,sisi watu wa jicho la tatu takaona, tukawatonya kwa kuwauliza Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sumu ikawaingia,mara Kamanda akatangaza kukosa imani,na kujuta kukaa mezani, sisi watu wa ushauri,tukamshauri Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!

Kamanda akaamua Mbelgiji hatufai hivyo kwenye uchaguzi wa ndani mkamletea lile tutusa ,jamaa akasirika ndipo akaamua kumpandia kamanda kule kule juu kileleni na kumpopoa kwa mtindo wa tutabanana hapa hapa kwenye ile vita ya ama zake ama zangu!,ama zao,ama zetu!,mimi kama kawaida yangu kwanza nikawashauri Chadema Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

Hapa na mimi naomba kukiri udhaifu wangu,sikuamini kama TAL angeshinda!hivyo nikamshari kukubali matokeo na kukubali kushindwa Pre GE2025 - Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!

Mara pap,kamanda chali!kichaa kachukua chama,kakamata usukani,mwendo ni mzobe mzobe!

NRNE ya kamanda sio kususia uchaguzi bali kushinikiza reforms na kama hakutafanyika reforms basi Chadema haitashiriki!,kamanda mpya katangaza vita na wenye mamlaka,kuwa bila reforms,hakuna uchaguzi!,kitu ambacho ni impossible!,sisi washauri wa bure,tukashauri tena。。。 si ndio akatangaza kukinukisha,, wenye mamlaka ndio kama hivyo wamemuhifadhi!

Kwa vile the real game inachezwa mezani,na matokeo yanapatikania mezani ila yanatangaziwa uwanjani , ile timu ya ushindi,tuliisha maliza kazi siku nyingi!,matokeo tayari tunayo kibindoni,uzuri wa jf ni kuwa wa kwanza kujua,nami mwana jf mwenzenu wa kule sina hiyana nimewajulisha wazi kabisa。。。

Hizi kukuru kakara zenu,ni kukuru kakara za mtu anayetafuta,bila kujua kuwa tafuta yote hii ni kujifurahisha tuu,na kuimalizia hiyo ruzuku ya mwisho mwisho!,wenzenu ni watu waliopata, ushindi tayari wanao kibindoni, wahangaikie nini?, ndio maana wametulia tuu,wamejituliza tuli ,wanasubiria tuu siku ya siku ya kipenga kipulizwe wapeleke timu na kuingiza uwanjani kukamilisha tuu zile taratibu za kumtangaza mshindi!

Siku hiyo ni siku ya
Unachukua。。 。
Unaweka。。。
malizia。。 。。

P

Umeandika kama mwimba taarabu. Unasema Lisu ni kichaa, hivi kati ya wewe na Lisu, nani ni kichaa?

Hata hapa JF tukisema mpigiwe kura kati ya wewe na Lisu, kutafuta kichaa halisi, unadhani wewe unaweza kukosa ushindi wa 99.9%?

Aliyoyafanya Lisu katika kuisaidia nchi hii, wewe huwezi kufikia hata 1%. Spika Makinda aliwahi kutamka kuwa wakati wa uongozi wake wa Bunge, Serikali ilipokuwa inapeleka miswada Bungeni, yenye utata, yenye dhamira mbaya zilizojificha au yenye uwezekano wa matokeo mbaya, ni Tundu Lusu ndiye aliyekuwa akiwafumbua macho wabunge wote. Hayo ni baadhi tu.

Watanzania kiasili, ni watu wanaothamini amani ya kweli, kwa CCM kuanzisha siasa za kuwateka na kuwaua wapinzani na wakosoaji, hakuna anayeweza kuwaunga mkono isipokuwa mashetani wachache, wale ambao wapo tayari hata kuua binadamu wenzao kwaajili ya kulinda matumbo yao. Lakini kwa watanzania walio wengi, "ni aheri nife maskini kuliko kudhulumu uhai wa binadamu mwenzangu".
 
Mkuu mzigo ushakuwa mzito kwao na katika kitu kinawapasua kichwa ni namna walivyojiingiza kwenye huu mtego wa kuipigia promo Chadema kwa gharama zao(kulaumia kupo tena mno ,kati ya waasisi wa chama na majuniors) wapo wanaoitwa wakaidi na wapo wanaoomba msamaha kwa upotofu anyway .....

Kimsingi niseme wameshakubaliana kwa pamoja wautue ,shida ni namna tu ya kuutua.

Hiki kinachofanyika hapa nikumtengenezea Mama mazingira tu juu ya namna ya kuutua ila wakati wowote utalisikia tamko ikiwezekana kuanzia leo ,wakati wowote ishara zitaanza kusikika kuhusu hatima ,kaeni kwa kutulia tu
I agree
 
Umeandika kama mwimba taarabu. Unasema Lisu ni kichaa, hivi kati ya wewe na Lisu, nani ni kichaa?

Hata hapa JF tukisema mpigiwe kura kati ya wewe na Lisu, kutafuta kichaa halisi, unadhani wewe unaweza kukosa ushindi wa 99.9%?

Aliyoyafanya Lisu katika kuisaidia nchi hii, wewe huwezi kufikia hata 1%. Spika Makinda aliwahi kutamka kuwa wakati wa uongozi wake wa Bunge, Serikali ilipokuwa inapeleka miswada Bungeni, yenye utata, yenye dhamira mbaya zilizojificha au yenye uwezekano wa matokeo mbaya, ni Tundu Lusu ndiye aliyekuwa akiwafumbua macho wabunge wote. Hayo ni baadhi tu.
Huyu fuse zilishachomoka hana credibility tena
 
Mkuu Mshana Jr ,tumekuelewa
ila kwa sisi wa longi tunajua all the games people play,1995 ilikuwa hivi kwa NCCR Mageuzi na Lyatonga,2015 was the same kwa Chadema na moto wa Lowassa.

The game ya siasa zetu haichezwi kwenye zile dakika 90 uwanjani,the game inachezwa mezani!。

Huyu Maza kaingia na nia njema ya dhati,kaitisha timu zote zikae mezani,tujadili kwa pamoja the rules of the game,watu mkakataa!,akina sisi watazamaji wazuri wa huu mchezo,tukawashauri Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.
mkagoma kwa kisingizio hamuwezi kukubali kukaa mezani huku mnene wenu yuko 'pahala salama'!。Tukamuombea msamaha Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? 。 Huyu mama alivyo Rahimu na asivyo mtu wa hiyana,akatusikiliza akatenda Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito! mnene wenu sio tuu akaachiwa,bali pia mapene mkavutishwa,mkamwagiwa!,ndipo mkakaa mezani!,mkakubaliana kugawana nusu mkate,mambo yalikuwa yanakwenda safi!

Mara Mbelgiji katua nchini akawavuruga!,sisi watu wa jicho la tatu takaona, tukawatonya kwa kuwauliza Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sumu ikawaingia,mara Kamanda akatangaza kukosa imani,na kujuta kukaa mezani, sisi watu wa ushauri,tukamshauri Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!

Kamanda akaamua Mbelgiji hatufai hivyo kwenye uchaguzi wa ndani mkamletea lile tutusa ,jamaa akasirika ndipo akaamua kumpandia kamanda kule kule juu kileleni na kumpopoa kwa mtindo wa tutabanana hapa hapa kwenye ile vita ya ama zake ama zangu!,ama zao,ama zetu!,mimi kama kawaida yangu kwanza nikawashauri Chadema Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

Hapa na mimi naomba kukiri udhaifu wangu,sikuamini kama TAL angeshinda!hivyo nikamshari kukubali matokeo na kukubali kushindwa Pre GE2025 - Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!

Najivunia kuchangia kufanyika uchaguzi wa haki Chadema kupitia onyo hili The Voices From Within: Warning kwa Chadema, Be Very Careful, Msifanye Ujinga Wowote!, Mkileta Tuu Ujinga!, Tarehe 21 Jan. Kutakuwa Hakuna Uchaguzi!. mara ndio pap,kamanda chali!kichaa kachukua chama,kakamata usukani,mwendo ni mzobe mzobe!

NRNE ya kamanda sio kususia uchaguzi bali kushinikiza reforms na kama hakutafanyika reforms basi Chadema haitashiriki!,kamanda mpya katangaza vita na wenye mamlaka,kuwa bila reforms,hakuna uchaguzi!,kitu ambacho ni impossible!,sisi washauri wa bure,tukashauri tena。。。 si ndio akatangaza kukinukisha,, wenye mamlaka ndio kama hivyo wamemuhifadhi!

Kwa vile the real game inachezwa mezani,na matokeo yanapatikania mezani ila yanatangaziwa uwanjani , ile timu ya ushindi,tuliisha maliza kazi siku nyingi!,matokeo tayari tunayo kibindoni,uzuri wa jf ni kuwa wa kwanza kujua,nami mwana jf mwenzenu wa kule sina hiyana nimewajulisha wazi kabisa。。。

Hizi kukuru kakara zenu,ni kukuru kakara za mtu anayetafuta,bila kujua kuwa tafuta yote hii ni kujifurahisha tuu,na kuimalizia hiyo ruzuku ya mwisho mwisho!,wenzenu ni watu waliopata, ushindi tayari wanao kibindoni, wahangaikie nini?, ndio maana wametulia tuu,wamejituliza tuli ,wanasubiria tuu siku ya siku ya kipenga kipulizwe wapeleke timu na kuingiza uwanjani kukamilisha tuu zile taratibu za kumtangaza mshindi!

Siku hiyo ni siku ya
Unachukua。。 。
Unaweka。。。
malizia。。 。。

P
Hapana P huyo mama yote aliyokuwa anafanya ni geresha tu,anautaka uraisi zaidi ya kitu chochote kile,yule machinga wa Kariakoo alimuelezea vizuri sana huyu mama,kwamba ukitaka huyu mama akuue basi onyesha unataka uraisi...hana weka wowote huyo bibi
 
Mkuu Mshana Jr ,tumekuelewa
ila kwa sisi wa longi tunajua all the games people play,1995 ilikuwa hivi kwa NCCR Mageuzi na Lyatonga,2015 was the same kwa Chadema na moto wa Lowassa.

The game ya siasa zetu haichezwi kwenye zile dakika 90 uwanjani,the game inachezwa mezani!。

Huyu Maza kaingia na nia njema ya dhati,kaitisha timu zote zikae mezani,tujadili kwa pamoja the rules of the game,watu mkakataa!,akina sisi watazamaji wazuri wa huu mchezo,tukawashauri Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.
mkagoma kwa kisingizio hamuwezi kukubali kukaa mezani huku mnene wenu yuko 'pahala salama'!。Tukamuombea msamaha Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? 。 Huyu mama alivyo Rahimu na asivyo mtu wa hiyana,akatusikiliza akatenda Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito! mnene wenu sio tuu akaachiwa,bali pia mapene mkavutishwa,mkamwagiwa!,ndipo mkakaa mezani!,mkakubaliana kugawana nusu mkate,mambo yalikuwa yanakwenda safi!

Mara Mbelgiji katua nchini akawavuruga!,sisi watu wa jicho la tatu takaona, tukawatonya kwa kuwauliza Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sumu ikawaingia,mara Kamanda akatangaza kukosa imani,na kujuta kukaa mezani, sisi watu wa ushauri,tukamshauri Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!

Kamanda akaamua Mbelgiji hatufai hivyo kwenye uchaguzi wa ndani mkamletea lile tutusa ,jamaa akasirika ndipo akaamua kumpandia kamanda kule kule juu kileleni na kumpopoa kwa mtindo wa tutabanana hapa hapa kwenye ile vita ya ama zake ama zangu!,ama zao,ama zetu!,mimi kama kawaida yangu kwanza nikawashauri Chadema Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

Hapa na mimi naomba kukiri udhaifu wangu,sikuamini kama TAL angeshinda!hivyo nikamshari kukubali matokeo na kukubali kushindwa Pre GE2025 - Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!

Najivunia kuchangia kufanyika uchaguzi wa haki Chadema kupitia onyo hili The Voices From Within: Warning kwa Chadema, Be Very Careful, Msifanye Ujinga Wowote!, Mkileta Tuu Ujinga!, Tarehe 21 Jan. Kutakuwa Hakuna Uchaguzi!. mara ndio pap,kamanda chali!kichaa kachukua chama,kakamata usukani,mwendo ni mzobe mzobe!

NRNE ya kamanda sio kususia uchaguzi bali kushinikiza reforms na kama hakutafanyika reforms basi Chadema haitashiriki!,kamanda mpya katangaza vita na wenye mamlaka,kuwa bila reforms,hakuna uchaguzi!,kitu ambacho ni impossible!,sisi washauri wa bure,tukashauri tena。。。 si ndio akatangaza kukinukisha,, wenye mamlaka ndio kama hivyo wamemuhifadhi!

Kwa vile the real game inachezwa mezani,na matokeo yanapatikania mezani ila yanatangaziwa uwanjani , ile timu ya ushindi,tuliisha maliza kazi siku nyingi!,matokeo tayari tunayo kibindoni,uzuri wa jf ni kuwa wa kwanza kujua,nami mwana jf mwenzenu wa kule sina hiyana nimewajulisha wazi kabisa。。。

Hizi kukuru kakara zenu,ni kukuru kakara za mtu anayetafuta,bila kujua kuwa tafuta yote hii ni kujifurahisha tuu,na kuimalizia hiyo ruzuku ya mwisho mwisho!,wenzenu ni watu waliopata, ushindi tayari wanao kibindoni, wahangaikie nini?, ndio maana wametulia tuu,wamejituliza tuli ,wanasubiria tuu siku ya siku ya kipenga kipulizwe wapeleke timu na kuingiza uwanjani kukamilisha tuu zile taratibu za kumtangaza mshindi!

Siku hiyo ni siku ya
Unachukua。。 。
Unaweka。。。
malizia。。 。。

P
🤣 kumbe shida inajulikana ni nini !

Nimekumbuka ya Jecha….. magoli yalltolewa na mpira kurudishwa kati
 
Kujifariji ni Haki ya msingi ya mtazania. Uzuri sote tupo hapa na tunayaona yote; ya mitandaoni na Huku uraiani. Silengi kumkatisha mtu tamaa lakini lazima niseme ukweli, BAADO SAAAANA! Uzuri wa watanzania, ukimpatia sehemu yake Moja tu kwisha. Kuna sehemu kama nne hivi hazijaguswa kabisaaa, unasubiriwa muda muafaka tu😃😃😃

Halafu 'namba moja' anavyowajulia Sasa hivi; ametulia kimyaaa kama hawaoni vileee.....tofauti kabisa na matarajio yao. Anafanya mambo yake mengine tu kwa amani kabisa. Wasivyo na akili Sasa; wanajaa tu.
 
Nani anaweza kunionesha walau mada moja mitandaoni iliyotawala walau kwa masaa machache ama iliyoenda viral? Achana na zile mada mbovu zilizokosa ladha na uhalisia za mbubujikwa machozi, tlaa tlaah, yule Yohana mbatizaji kinyonga na wengine
Kuna ile habari ya ka Steve Nyerere kanawakemea Maaskofu kuhusu mambo ya kuingiza siasa kanisani! Haki ya nani nilikaangalia nikaishia kucheka tu! Kamekaukianaaaaa!!
 
Kitu kimoja nilichokiona kwa Tanzania na Tanzania ni kwamba ikiwa Chama kinafanya siasa za udini,ukabila na ukanda na ukanda huishia pabaya.

Poleni Wana Chadema
 
Sasa wewe unasimama wapi mkuu 'Mbaga Jr'

Hujawahi sifia chama hata siku moja?

Ninakubaliana na unapowataja "wagonjwa wa akili" kama hao uliowaorodhesha hapo juu. Lakini kweli huoni tofauti ya hao na hiki kinachotokea sasa?
Hata ungekuwa unaishi kwenye pango kusikofika mwanga, na ukatokea kufika mahali hapa sasa hivi; kama ni binaadam wa kawaida bila shaka utasisimkwa tu na unachokiona mbele yako.

Sasa tueleze wewe, huko upande wa pili, CCM, ni kipi kinakusisimua wewe na hao hapo uliowataja kwa majina?
Mm sio ccm wala sio chadema.
Na kote huko sijaona cha kusisimua, mana huu ndo wakati sahihi kuona haya yanayoonekana.
 
Back
Top Bottom