m2mixh
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 661
- 423
Huu sio ukristo wa kwenye biblia,ni ukristo wa jamii ya kina mwamposa tu.Vinginevyo utoe andiko kuthibitisha madai yakoKtk ukristo hivyo vitu vipo. Hata ukichukua maji wewe kwa imani ukayaombea yanageuka kuwa damu ya Yesu ukimwagia mwenye mapepo lazima yatoke.