Wakuu hata kazi ya bure hamna?

Wakuu hata kazi ya bure hamna?

Pole Sana I feel ur pain.

Ila just link with dsm to try ur luck.
Huyo ni mmoja kati ya 30,000,000 wenye msoto km wake siku hizi hukuti Bibi anafagia Ofisi zamani enzi hizo hadi kufagia barabara zilikua kazi za wabibi siku hizi mpaka kuzoa Taka Taka ni kazi za vijana tena wenye DEGREE zao na GPA za kutisha 4.2 mpaka 4.4, weka DEGREE kabatini twende tukakate Majani ya Ng'ombe tutauza maziwa
 
Sana! Having two brothers imenifunza kuwa maisha ya wanaume yana milima mikali sana. Sijasema ya wanawake ni marahisi, but atleast I had it easy.

Kama hatuwezi kusaidiana basi angalau tusivunjane moyo.
Ma bro nao n jobless ?n kwel girl amna shida kuna option ya kuolewa.
 
Mkuu kama hujui pa kuanzia.. Nenda hata westerwelle haus Arusha, huwa wana events na programs za vijana. Huko unaweza kukutana na watu wanaofanya vitu au tu kupata skills set, at least itakisaidia

Kwa DSM kuna empower limited nao huwa wana programs za vijana lakini sina uhakika kama wana reach hadi arusha..

Kama hauna hata wazo, jiunge kwenye incubation zozote kama hizo, usijali kama wao wanapiga pesa ila cha msingi, pata exposure and skills


Option nyingine ni ya volunteering na internships, kwa Arusha kuna kampuni za tours nyingi, unaweza kujitolea maana ni rahisi kupata kazi kazini ila si ukiwa nje ya mfumo..


Mungu akutangulie mkuu
 
Sio jobless kabisa basi tu mambo bado nusu nusu.

Kuolewa sio option nzuri mkuu.... I had it easy sababu nilipataga kazi kabla hata ya kumaliza mtihani wa mwisho.
story yangu haitofautiani sana na yako.. Kabla sijaingia graduation nilikuwa nishapata internship

A year later ndio mambo yakavurugika ila ni katika kipindi hicho nilijifunza mengi about life.

Wengi humu usishangae mtu anatoa ushauri na alimaliza chuo nyuma ya 2015 ambapo ndio mambo yalianza kuwa worse. Au la mtu kapewa kimemo au kazi ya kwanza kabutua. Anaona wengine wote hawajui kitu

Kwa mtu yoyote anaelewa hustles za kujitengeneza from scratch kwa zama hizi na asisahau alipotoka. Hawezi kumtukana au kumdhihaki mtu kirahisi
 
Mkuu kama hujui pa kuanzia.. Nenda hata westerwelle haus Arusha, huwa wana events na programs za vijana. Huko unaweza kukutana na watu wanaofanya vitu au tu kupata skills set, at least itakisaidia

Kwa DSM kuna empower limited nao huwa wana programs za vijana lakini sina uhakika kama wana reach hadi arusha..

Kama hauna hata wazo, jiunge kwenye incubation zozote kama hizo, usijali kama wao wanapiga pesa ila cha msingi, pata exposure and skills


Option nyingine ni ya volunteering na internships, kwa Arusha kuna kampuni za tours nyingi, unaweza kujitolea maana ni rahisi kupata kazi kazini ila si ukiwa nje ya mfumo..


Mungu akutangulie mkuu
shukrani mkuu
 
story yangu haitofautiani sana na yako.. Kabla sijaingia graduation nilikuwa nishapata internship

A year later ndio mambo yakavurugika ila ni katika kipindi hicho nilijifunza mengi about life.

Wengi humu usishangae mtu anatoa ushauri na alimaliza chuo nyuma ya 2015 ambapo ndio mambo yalianza kuwa worse. Au la mtu kapewa kimemo au kazi ya kwanza kabutua. Anaona wengine wote hawajui kitu

Kwa mtu yoyote anaelewa hustles za kujitengeneza from scratch kwa zama hizi na asisahau alipotoka. Hawezi kumtukana au kumdhihaki mtu kirahisi
Infact mambo sio rahisi.... kuna siku nilikutana saluni na Juliana shonza kipindi akiwa naibu waziri, dada mwenye saluni ambaye pia tumezoeana toka zamani akawa anamwambia Juliana nisaidie basi mdogo wangu apate nafasi, Juliana kwa utani alimjibu hata nami mdogo wangu fulani bado hajapata.

Inaweza kuwa kweli au uongo ila Inaonesha wazi kuwa hata kwa wakuu kuna muda mambo si rahisi ukimcheki mkuu mwenzio unapigwa ahadi na calendar za kutosha, hali ikoje kwa mtoto wa masikini???

Hopefully umesharecover kwa maswahibu yaliyotokea mkuu.
 
Wakuu nina degree ya Accounting and Finance nipo Arusha jinsia ni mwanaume kukaa home kunachosha. Kama kuna mtu ana sehemu anataka hata mtu wa kumbebea mafile Arusha mimi nipo.
Keep on fighting, utafanikiwa Insha-Allah
 
Wakuu nina degree ya Accounting and Finance nipo Arusha jinsia ni mwanaume kukaa home kunachosha. Kama kuna mtu ana sehemu anataka hata mtu wa kumbebea mafile Arusha mimi nipo.
Ungekua dar ungekua unashinda kariakoo unabeba mizigo ya watu kwa siku usingekosa 10k Hadi 20k
 
Wakuu nina degree ya Accounting and Finance nipo Arusha jinsia ni mwanaume kukaa home kunachosha. Kama kuna mtu ana sehemu anataka hata mtu wa kumbebea mafile Arusha mimi nipo.
Pia huku dar Kuna kazi za viwandan nyingi kwa WEWE mwanaume ungepambana,najua unavyojisikia

Jobless mwenzyo nipo hapa
 
Wakuu nina degree ya Accounting and Finance nipo Arusha jinsia ni mwanaume kukaa home kunachosha. Kama kuna mtu ana sehemu anataka hata mtu wa kumbebea mafile Arusha mimi nipo.
UNAWEZA kufunga novena ya Mt Rita ??? Kama UNAWEZA basi fanya hivyo....kama una Imani lakini
 
Infact mambo sio rahisi.... kuna siku nilikutana saluni na Juliana shonza kipindi akiwa naibu waziri, dada wa mwenye saluni ambaye pia tumezoeana toka zamani akawa anamwambia Juliana nisaidie basi mdogo wangu apate nafasi, Juliana kwa utani alimjibu hata nami mdogo wangu fulani bado hajapata.

Inaweza kuwa kweli au uongo ila Inaonesha wazi kuwa hata kwa wakuu kuna muda mambo si rahisi ukimcheki mkuu mwenzio unapigwa ahadi na calendar za kutosha, hali ikoje kwa mtoto wa masikini???

Hopefully umesharecover kwa maswahibu yaliyotokea mkuu.

Hopefully I will, soon or later

Ila huwa siangalii nilichopoteza kuliko times ambazo nilianguka na kuinuka. Hata hivyo, sijafika napopataraji lakini sipo nilipokuwa pia..

Kwa hiyo life is good somehow

Shukrani kwa kujali pia. Ubarikiwe 🙏🏽
 
Hopefully I will, soon or later

Ila huwa siangalii nilichopoteza kuliko times ambazo nilianguka na kuinuka. Hata hivyo, sijafika napopataraji lakini sipo nilipokuwa pia..

Kwa hiyo life is good somehow

Shukrani kwa kujali pia. Ubarikiwe 🙏🏽
🥰 Amen.
 
Back
Top Bottom