aroon dismon
Member
- Sep 20, 2024
- 28
- 66
Habari za humu ndugu zangu,Mimi ni kijana mwenye miaka 27
mmekuja mbele yenu kuomba kazi yoyote mradi nijipatie kipato ,japo nmesomea ualimu Nina degree ya kufundisha biology
Hiyo siyo case naombeni kazi yoyote Ile iwe ni site au kokote unakoona unaweza nisaidia maji yamenifika shingoni wakuu,
Nipo iringa kwa sasa naombeni sana Ata mkoa wowote nitakuja mradi tu kazi ipo
Natanguliza shukran zangu 🙏
mmekuja mbele yenu kuomba kazi yoyote mradi nijipatie kipato ,japo nmesomea ualimu Nina degree ya kufundisha biology
Hiyo siyo case naombeni kazi yoyote Ile iwe ni site au kokote unakoona unaweza nisaidia maji yamenifika shingoni wakuu,
Nipo iringa kwa sasa naombeni sana Ata mkoa wowote nitakuja mradi tu kazi ipo
Natanguliza shukran zangu 🙏