Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 17,188
- 55,339
Mkuu tuliza akili mwisho wa siku Maisha lazima yaende iwe wanajf watakusaidia au hawatakusaidia.
nipo Arusha mkuuKimbia sasahivi wahi TBL dar es salaam kajaribu bahati yako.
Na uje na majibu hapa.
Naomba jina lako. Nitakuwa wakwanza kukuuliza.
Anhaa unataka kazi arusha hayanipo Arusha mkuu
kufika dsm mkuu na ujobless huu itawezekana vipi na maokoto ni 0Anhaa unataka kazi arusha haya
Huyo ni mmoja kati ya 30,000,000 wenye msoto km wake siku hizi hukuti Bibi anafagia Ofisi zamani enzi hizo hadi kufagia barabara zilikua kazi za wabibi siku hizi mpaka kuzoa Taka Taka ni kazi za vijana tena wenye DEGREE zao na GPA za kutisha 4.2 mpaka 4.4, weka DEGREE kabatini twende tukakate Majani ya Ng'ombe tutauza maziwa
sawa sawa mkuuMkuu tuliza akili mwisho wa siku Maisha lazima yaende iwe wanajf watakusaidia au hawatakusaidia.
Mkuu tafuta hata kijiwe tu uchome mahindi.....sii sawa na kukaa bure, kama unaona noma mtaani kwako tafuta kijiwe mbali kidogo.mtaji
nipo Arusha city mkuu ila mererani ni masaa machache tu nishafikaUpo Arusha sehemu Gani ? Kama upo mererani njoo pm
Njoonipo Arusha city mkuu ila mererani ni masaa machache tu nishafika
asante mkuuuNakuonea imani ndugu yangu. Sina msaada lakini natamani wadau wenye uwezo kwa sasa wakusaidie.
Hakuna kitu kigumu kama kuamka asubuhi na huna pa kwenda.
mkoa gani mkuuKuuza barafu shule ya msingi uko tayari?
Arushamkoa gani mkuu
Lakini vipi kukimbia na friji saa nane usiku utaweza?nipo Arusha city mkuu ila mererani ni masaa machache tu nishafika
hapana mkuuLakini vipi kukimbia na friji saa nane usiku utaweza?