Wakuu hata kazi ya bure hamna?

Wakuu hata kazi ya bure hamna?

wakuu nina degree ya Accounting and Finance nipo Arusha jinsia ni mwanaume kukaa home kunachosha kama kuna mtu ana sehemu anataka hata mtu wa kumbebea mafile Arusha mimi nipo
Achana na hizo degree za kukariri notes, chagua kazi uipendayo uanze kutafuta ujuzi wake, kazi inayoendana na maisha yetu ya kila siku, jichanganye na vijana wa rika lako
 
Elimu ya chuo haina manufaa,
 
Back
Top Bottom