matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,584
- 15,362
Jamaa alikuwa na shamba pori.
Serikali ikalitifaisha kwa sababu ya kutoendelezwa muda mrefu.
Wakauziwa wengine kama viwanja na wana hati za serikali za mitaa.
Miaka mingi imepita, jamaa kaibuka anadai kashinda kesi na wanunuzi wote ni wavamizi.
Kwa Harakaharaka nani yuko sahihi.
Mwenye shamba baada ya kudai kushinda kesi?
Serikali baada ya kutaifisha shamba pori?
Wananchi walionunua maeneo kihalali kupitia serikali za mitaa kwa uhakika kuwa eneo hilo limetaifishwa?
Ikitokea wamebomolewa, wahahaki kuishtaki serikali ya mitaa iwalipe fidia kwa kukubali kuwauzia eneo ambalo wanajua lina migogoro?
Serikali ikalitifaisha kwa sababu ya kutoendelezwa muda mrefu.
Wakauziwa wengine kama viwanja na wana hati za serikali za mitaa.
Miaka mingi imepita, jamaa kaibuka anadai kashinda kesi na wanunuzi wote ni wavamizi.
Kwa Harakaharaka nani yuko sahihi.
Mwenye shamba baada ya kudai kushinda kesi?
Serikali baada ya kutaifisha shamba pori?
Wananchi walionunua maeneo kihalali kupitia serikali za mitaa kwa uhakika kuwa eneo hilo limetaifishwa?
Ikitokea wamebomolewa, wahahaki kuishtaki serikali ya mitaa iwalipe fidia kwa kukubali kuwauzia eneo ambalo wanajua lina migogoro?