Ya Mganga nivae wakati wa Kampeni!Message kama hii unachomoka vipi
Sawa kaka nakukubali.Duh! wewe ndio utakua na jibu la kitoto yaani mwanamke akute chupi ndani umwambie hujui imetokea wapi labda aliiweka yeye!!!? Lol haya mambo tuachie sie wataalam wa kuvusha (japo tushastaafu)
Duh, Kumbe ni chupi?!!Message kama hii unachomoka vipi
Haha,. Wewe kibokoUkiikataa ndio msala, wewe kubali ila kitaalam sana
Mkuu, h yako ndo utoto sasa.Ni jibu la kitoto. Lazima awe ametabiri jibu hilo.
Consider kitu kama ,Sijui imetokea wapi hiyo chupi? May be umeiweka wewe?
Halafu kwanini hao wanawake wenu wa nje wanaachaga chupi au viatu au hereni?Message kama hii unachomoka vipi
Basi tuu ili watugombanishe mwingine unakuta anaacha chupi kwenye gari yakoHalafu kwanini hao wanawake wenu wa nje wanaachaga chupi au viatu au hereni?
Halafu wanaachaga bila taarifa siyo?Basi tuu ili watugombanishe mwingine unakuta anaacha chupi kwenye gari yako
Ili mwanamke mwingine akiona ajue kuna mwanmke anaingiaHalafu kwanini hao wanawake wenu wa nje wanaachaga chupi au viatu au hereni?
ndo atapata nini?Ili mwanamke mwingine akiona ajue kuna mwanmke anaingia