Hazihesabiwi hivyo,tunahesabu kuanzia tarehe ya mwisho aliyoanza hedhi yake ambayo Ni tarehe 22,mpaka tarehe 1&2 waliyokutana ilikuwa tayari Ni siku ya 11&12 toka hedhi ya mwisho,ana 90% ya kuwa na mimba Tena mtoto wa kike🤓🤓🤓🤓🤓🤓mkuu Half american msitoe hiyo mimba kaacheni ka babygirl kaishi!!Hana Mimba, Kwa maana kama aliaanza tare 22 inamaana alimaliza hedhi yake tare 27 .
Kuanzia tare 28 march mpaka tare 2 April Kuna siku sita ambazo ni safe, kuanzia tare 3 mpaka 13 ilikua ndio danger zone, 14 mpaka 19 safe, kwahio hedhi nyingine angeingia kuanzia tare 20/22. Angalia usiwe umepigwa.
Asikuponze mkuu jiandae tu kuwa baba!Asante kwa ufafanuzi mkuu, hedhi yake n siku 4 inakoma.
Sio kwamba sitaki kuwa baba nataka sana.Naona hutaki kuwa baba kija
Kwani mzunguko wake ni wa siku ngapi?, Feb aliingia tarehe ngapi?
Kama n mimba haitolewi mkuu, zingatia neno kama.Hazihesabiwi hivyo,tunahesabu kuanzia tarehe ya mwisho aliyoanza hedhi yake ambayo Ni tarehe 22,mpaka tarehe 1&2 waliyokutana ilikuwa tayari Ni siku ya 11&12 toka hedhi ya mwisho,ana 90% ya kuwa na mimba Tena mtoto wa kike🤓🤓🤓🤓🤓🤓mkuu Half american msitoe hiyo mimba kaacheni ka babygirl kaishi!!
Ni suala la muda kuwa la baridi😂hayo ni matokeo ya penzi motomoto..
Kupata wakiume inakuaje mkuumimba ipo tena mtoto wa kike 80%
Kuikojolea ufanye wewe, kazi ya kuhesabu tarehe tufanye sisi.Ufafanuzi mkuu izo tarehe na siku
Mlivyonikomalia sasa duhAsikuponze mkuu jiandae tu kuwa baba!
Kwa maana hio tare 2 alikua danger. Atakua nayo.Hazihesabiwi hivyo,tunahesabu kuanzia tarehe ya mwisho aliyoanza hedhi yake ambayo Ni tarehe 22,mpaka tarehe 1&2 waliyokutana ilikuwa tayari Ni siku ya 11&12 toka hedhi ya mwisho,ana 90% ya kuwa na mimba Tena mtoto wa kike🤓🤓🤓🤓🤓🤓mkuu Half american msitoe hiyo mimba kaacheni ka babygirl kaishi!!
Hapa ndio unapaswa upige zile hesabu zako za kihasibu sio kule kwa Azizi ki.Kuikojolea ufanye wewe, kazi ya kuhesabu tarehe tufanye sisi.
Huyo tayari kanasa!Kwa maana hio tare 2 alikua danger. Atakua nayo.
tarehe 2 April ilikuwa ni siku ya 11 hapo bado siku tatu yai litoke kwenye ovary mbegu za mwanaume hasa X zinaweza kuvumilia Hadi masaa 72 au hadi siku 5 kabisa zikiwa kwenye mwili wa mwanamke na kwa muda uwezekano wa mimba upo tena pisi kali itazaliwa27
Hana Mimba, Kwa maana kama aliaanza tare 22 inamaana alimaliza hedhi yake tare 27 .
Kuanzia tare 28 march mpaka tare 2 April Kuna siku sita ambazo ni safe, kuanzia tare 3 mpaka 13 ilikua ndio danger zone, 14 mpaka 19 safe, kwahio hedhi nyingine angeingia kuanzia tare 20/22. Angalia usiwe umepigwa.
Note: lakini pia inawezekana binti kuingia hedhi mara mbili kabla ya siku 24-28. Kama ana matatizo ya hormones imbalance.
Mimi sio daktari nazungumza kulingana na uzoefu wangu tu.
Yapi hayo
Kuwa baba raha jamani,sasa mwanaume una hasara gani kuitwa baba cha Zaidi Ni kuongeza kipato tu!Mlivyonikomalia sasa duh
Nenda duka la madawa kanunue kipimo kujiondoa maswali mcheki kojo.Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Mbona pisi kali@Half american kama Wewe Ni mkristo niambie aunt yake niandae Jina kabisa!tarehe 2 April ilikuwa ni siku ya 11 hapo bado siku tatu yai litoke kwenye ovary mbegu za mwanaume hasa X zinaweza kuvumilia Hadi masaa 72 au hadi siku 5 kabisa zikiwa kwenye mwili wa mwanamke na kwa muda uwezekano wa mimba upo tena pisi kali itazaliwa
hamna ugomvi wowote ikitokea lkn sayansi inasema kwa jinsi tarehe alotaja kuenjoy na shemeji basi 80% anaweza akazaa chombo kingine na wenzie waje wakifaidiKupata wakiume inakuaje mkuu
Kweli mkuu ngoja tusubiri hadi keshokutwa akapime tujue.Kuwa baba raha jamani,sasa mwanaume una hasara gani kuitwa baba cha Zaidi Ni kuongeza kipato tu!
Sawa mkuu nitafanya hivyoNenda duka la madawa kanunue kipimo kujiondoa maswali mcheki kojo.
Hapa utajaza sever, matumboya kiba mama yana mabadiliko ya kila sampuri.
Waweza kudhani imo kumbe katika kulenga shabaha uli washout!