Wakuu, hakuna upigaji kweli hapa?

Wakuu, hakuna upigaji kweli hapa?

Melancholic

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
3,546
Reaction score
6,499
Ndugu nina jambo kidogo naomba kushare nanyi.

Picha inajieleza.
Na kwa taarifa fupi tu ni kwamba nilifika ofisini kwao. Nikaambiwa kujaza form ni elfu kumi ili kujiunga kama mtoa huduma kwenye hiyo event na wakati nipo hapo zilikuwa zinashuka pisi za maana ili kushiriki katika zoez hilo kwa bahati mbaya au nzuri mimi sikutembea na hela but form nilijaza kwa maelewano kuwa nitawatumia hiyo pesa.

Ila swali nalojiuliza iweje watu sabini wote washiriki kwenye zoez moja na kila mtu kupata ela yake??

Au kuna kupigwa hapa ebu mwenye uzoefu na shughuli hizi anisaidie kidogo nisije nikatoa pesa yangu sadaka kizembe.

IMG-20230518-WA0000.jpg
 
Au kuna kupigwa hapa ebu mwenye uzoefu na shughuli hizi anisaidie kidogo nisije nikatoa pesa
70 x 10,000 = 700,000TZS.

Je kama wamejitokeza vijana 1000 kwa uchache, Fanya hesab

Kupata fedha kweli akili | Watoa tangazo wameona fursa, kwa vijana wasio na ajira | Nawe ni sehemu ya fursa kwao, nenda katoe sadaka.
 
Mhh! Huo ni utapeli ndugu! Asa kama anafanya kazi Kuna haja Gani ya kulipa Hela ya fomu? Yani tuseme analipa kiingilio Cha kuingia kazini Sasa.
Kilichopo awaambie 'sina Hela, nitafanya kazi Kisha mtanikata kwenye mshahara wangu'
 
Ndugu nina jambo kidogo naomba kushare nanyi.

picha inajieleza.
Na kwa taarifa fupi tu ni kwamba nilifika ofisini kwao. Nikaambiwa kujaza form ni elfu kumi ili kujiunga kama mtoa huduma kwenye hiyo event na wakati nipo hapo zilikuwa zinashuka pisi za maana ili kushiriki katika zoez hilo kwa bahati mbaya au nzuri mimi sikutembea na hela but form nilijaza kwa maelewano kuwa nitawatumia hiyo pesa.

Ila swali nalojiuliza iweje watu sabini wote washiriki kwenye zoez moja na kila mtu kupata ela yake??

Au kuna kupigwa hapa ebu mwenye uzoefu na shughuli hizi anisaidie kidogo nisije nikatoa pesa yangu sadaka kizembe.View attachment 2629946
MATAPELI
 
Ondoka Haraka Hapo Usigeuke Nyuma, Hizo Pisi Kali Ndiyo Zitakazokupumbaza
Buku Ten Yako Iende Bila Jasho,Amka Usingizini
 
Malipo yakoje na fom inasemaje na event gani mtakazohudumia weka taarifa hizo hapa kisha tujue tunakusaidiaje
Kila kitu kipo kwenye mabano wao wanadai wanajishughulisha na uandaaji wa utoaji huduma za chakula na vinywaji katika hafla mbalimbali hivyo wakikusajili unakuwa sehem ya team yao kinachonipa hofu ni idadi hiyo ya watu wote mshiriki katika event moja na kupata malipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom