dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,502
- 3,485
Nani akae dodoma wewe? tatizo lako na ufinyu wa akili /uelewa wako ww unajua kila JF member ni MTZ.
mimi sio hao ulio wazoea. nakupiga ban mwenyewe.pumbavu. ova
Nani akae dodoma wewe? tatizo lako na ufinyu wa akili /uelewa wako ww unajua kila JF member ni MTZ.
Wakusoma haya ndo mambo unayoyafanya humu.
![]()
post gan ameomba msamaha?
kaandika ktk jukwaa hili hili.NAOMBA MSAMAHA JAMANI.
kwanini asiombe msamaha hapahapa? Ama kwa vile amepewa ushauri wa pembeni aanzishe thread ya kuomba msamaha? Mleteni hapa.ha ha ha.
mimi sio hao ulio wazoea. nakupiga ban mwenyewe.pumbavu. ova
Na kisipotoka anakupakuwa duhNikijaza wewe unapakua
Wakusoma haya ndo mambo unayoyafanya humu.
![]()
Wakusoma haya ndo mambo unayoyafanya humu.
![]()
kajifunguwa lakini mtoto si rizki
kajifunguwa lakini mtoto si rizki
Dawa ya WAKUSOMA ni kutojibizana nae tu....tunampotezea km vyombo vya habari vilivyomotezeaga yule waziri fulani.......si riziki kabisa
Ila Excelent na Nduu mmemwandama sana wa kusoma,dah mtamfanya apotee aisee.Alishaomba msamaha....
hahahahaaaaaa wakusoma anachafua mazingira.:embarassed2:
Ile photo katoa nani? Ni mods au? Ina maana wanafurahia anachofanya huyu dogo?mbona malaria sugu alikuwa anafanya vurugu kule jukwaa la siasa wakampiga an ya maisha? Huyu mbona wanamwendekeza sana? Au MODS wa hili jukwaa anafurahia mabishano ya hapa na jazba na matusi yanayotolewa humu kwa sasa sababu ya mtu mmoja? MODs LITAZAMENI HILI KWA JICHO PANA,msije kutoa ban kwa member sababu ya mtu mmoja asiyesikia.
Ni kosa kubwa kumshawishi modes
Hakuna haja ya MODS dawa ni kukutua PWAAAAAAAAAAA na kukupotezea mazima hadi uje kivingine utakapokuwa umemaliza kusoma.................huhNi kosa kubwa kumshawishi modes