umeelewa au umelewa.
mkuu huyo mtu sijui anachotaka
Wakusoma haya ndo mambo unayoyafanya humu.
Mtanifanya niachane na JF, maana naona wote mnanishambulia. Elimu kwenu tatizo.[/QUOTE. Sio uachana na JF, achana na huo ujinga wako uone km watu utshambuliwa! Ww si ulisema huogopi kupashwa!? Ujue km umekera. Na badoooo.......
huyu nilishavumilia huko mwanzo napotezea,dawa yake ni kumpa live mpaka anyamaze kama mtu aliyedungwa sindano ya sementikaka hata mie sasa nimekulewa kwann umemfunguli thread.wakusoma ana kihere here kama kuku anaelalia.kosa aone kichaka anabanwa na tumbo la kuhara huo upupu wake.
aliyataka mwenyeweMtanifanya niachane na JF, maana naona wote mnanishambulia. Elimu kwenu tatizo.[/QUOTE. Sio uachana na JF, achana na huo ujinga wako uone km watu utshambuliwa! Ww si ulisema huogopi kupashwa!? Ujue km umekera. Na badoooo.......
Mtanifanya niachane na JF, maana naona wote mnanishambulia. Elimu kwenu tatizo.