Wakusoma

Bifu Exelent vs Wa kusoma dah! kwel nyie mnajuana hata kwa sura? kama vp lipotezeeni bana!
 
mkuu huyo mtu sijui anachotaka

kaka hata mie sasa nimekulewa kwann umemfunguli thread.wakusoma ana kihere here kama kuku anaelalia.kosa aone kichaka anabanwa na tumbo la kuhara huo upupu wake.
 
Wakusoma haya ndo mambo unayoyafanya humu.
458376.jpg

Mmmmmh?!
 
Mtanifanya niachane na JF, maana naona wote mnanishambulia. Elimu kwenu tatizo.
 
Mtanifanya niachane na JF, maana naona wote mnanishambulia. Elimu kwenu tatizo.[/QUOTE. Sio uachana na JF, achana na huo ujinga wako uone km watu utshambuliwa! Ww si ulisema huogopi kupashwa!? Ujue km umekera. Na badoooo.......
 
kaka hata mie sasa nimekulewa kwann umemfunguli thread.wakusoma ana kihere here kama kuku anaelalia.kosa aone kichaka anabanwa na tumbo la kuhara huo upupu wake.
huyu nilishavumilia huko mwanzo napotezea,dawa yake ni kumpa live mpaka anyamaze kama mtu aliyedungwa sindano ya sementi
 
Back
Top Bottom