Wakurya tumekuwa tunyanyasika sana tunapoenda kutambulisha na wachumba zetu wa makabila tofauti hadi kufikia kukataliwa kuoa kwa sababu ya kabila letu.
Imenitokea mimi na ndugu zangu wengi kwa unyanyasaji huu natoa wito kwa wakurya wote kupiga mimba kwanza kabla ya kwenda kutambulishwa.
Hatujawatuma watoto wenu watupende.
Imenitokea mimi na ndugu zangu wengi kwa unyanyasaji huu natoa wito kwa wakurya wote kupiga mimba kwanza kabla ya kwenda kutambulishwa.
Hatujawatuma watoto wenu watupende.