Wakurugenzi wa Taasisi nyingine mlioteuliwa kabla ya Magufuli kuwa Rais jiandaeni...

Ili Rais ajijenge kisiasa, anasubiri wateule wake wafanye maamuzi halafu yeye anatafuta attention kwa wananchi kwa kutofautiana nao.
Obviously ni kweli mara nyingi huwa hivyo ili aonekane kwamba yeye ni mwema au nzuri kwa wananchi.Angalia suala la machinga Mwanza au suala la magereza kuwapatia fedha za kujenga makazi.Mheshimiwa anapenda sifa binafsi directly zimfikie mwenyewe badala ya kutumia serikali kama taasisi yenye wataalamu anuai. Ingekuaje kama JK angetaka sifa si angemtumbua /angempiga chini kwa kuuza nyumba za serikali wakati alipokuwa waziri awamu ya tatu? au angemvizia kwenye kauli ya kuwaambia wakazi wa Kigamboni wapige mbizi? Ama angemmwaga kwa wizara anayosimamia kununua boti mbovu ya Dar-Bagamoyo? Au alipojaribu kuvunja jengo la Tanesco!? (Hiyo nia bado anayo)
Angefanya hivyo leo hii asingekuwa kiongozi.

Kuna maamuzi mengine yanahitaji maelekezo ndio maana huitaji kupitia ngazi tofauti ili kung'amua hitilafu na makosa tofauti.Hili nalo lilikuwa mojawapo.
 
Mramba alikuwa anajilipa bonus milioni 60 kila mwaka wakati Shirika linajiendesha kwa hasara!!!
Mkuu wangeisema hiyo kua ndo sababu ya kutumbuliwa kwake ingekua jambo zuri kuliko huku kuviziana aisee.yani mnamtegea akijichanganya tuu mnamalizaa
 
Mie ni mshabiki wa mh Magufuri na serikali yake na nimekuwa namtetea sana lakini kwa hili la Tanesco lazima lielezwe vizuri ili watendaji wawe na maamuzi la sivyo huenda utendaji na Ubunifu ukawa ovyo sana.
Ndio maana wanaondolewa kwa sababu wamekosa ubunifu, kupandisha bei ya umeme ingekuwa ni mwarobaini basi madeni yangeshaisha maana kila mwaka tunapandisha!!!!
 
Kwa hiki kilichomtokea Mramba wa Tanesco ni dhahiri kuwa wakurugenzi wakuu walioteuliwa Enzi za kikwete wajiandae kuondolewa nafsi zao. Mchackato wa umeme umeanza mda mrefu na ilikuwa public.

Sheria inayolinda na kuelekeza mchakato huo ipo. Mkurugenzi lazima amepitia bodi ya wakurugenzi kuanzisha mchakato.Bodi ya wakurugenzi wakiisharidhia ndo Tanseco wanapeleka EWURA.

Hoja ya kupandisha umeme imeanza mda mrefu, je nikwanini serikali kupitia Waziri haikuingia mapema kupinga na kupitia reporti ya TANESCO?? Je wao hawakua nchini na hawakujua juu ya huu mchakato? Sababu zilizotolewa na Waziri na Mh Rais kutengua nafasi ya Mramba hazina mashiko na zinaonyesha walikuwa wanamvizia nakumutafutai sababu fulanifulani ili wamuondoe.

Mie ningemuelewa mh Rais kama angevunja bodi ya Tanesco na kumuondoa Waziri kwa Kushindwa kuintervene mapema, otherwise ni hali ya uonevu na sidhani kwa wasomi na wanaoelewa mambo watakubaliana na hili.

Kama anamuondoa kwa sababu ya kuingiz mkataba na symbion mwezi Dec 2015 kwa ajli ya kuzalisha umeme kwa miaka 20 wakati hata Mh rais alikuwa hajaunda Baraza la Mawaziri hapo aseme na wote tutakubali.

Kutokana na niliyeleza hapo juu ni vizuri wakurugenzi wakuu wa Mashirika makubwa nchini kama PPF,LPF,NHC wajiandae kuondoka.. wasidhani wako smart ila bado kuna kakitu kanatafutwa.

Mie ni mshabiki wa mh Magufuri na serikali yake na nimekuwa namtetea sana lakini kwa hili la Tanesco lazima lielezwe vizuri ili watendaji wawe na maamuzi la sivyo huenda utendaji na Ubunifu ukawa ovyo sana.

Mkuu, hapo kwenye RED ndicho khasa kilichotokea.

Nimejaribu kuelezea sana hili jambo ingawa sikutaka kwenda ndani sana katika mada mbalimbali humu, lakini hiyo ndiyo sababu kubwa.

Raisi JPM baada ya kuapishwa alisitisha mchakato wa kutia saini mkataba na jamaa akiwa na wanamtandao nyuma yake na wzungu wao wakazunguka.

Na pia nyuma ya pazia watu walikuwa wakipigana vikumbo pale Tanesco huku IPPs wakidai kuridhiwa mikataba yao kwa kumshinikiza Mramba aendelee na mipnago ya upandishaji gharama za umeme.

Lakini tayari "team against" ikawa imeingia kazini na kuanza upotoshaji na kilichotokea tumekiona.

Ila hakufahamu alipokuwa akizunguka kuna alama alikuwa anaacha.

Hapo umemaliza kila kitu.

Kula tano na Kheri ya Mwaka Mpya.
 
Hakuna asiyejua uadilifu wa Mramba
Mkuu usimsemee mhusika kwamba hakuna anayejua uadilifu wa Mramba, watu wote wangejua ni muadilifu kwa kiwango unachotaka kutuaminisha bac kwa sasa wangepaza sauti kwa pamoja kupinga utumbuliwaji wake. Kwako unaweza ukawa unajua mazuri yake tu kumbe nyuma ya pazia kuna vitu anafanya ndivyo sivyo ila ww hujui .Usimwamin binadam kwa mwonekano wa nje
 
Hakukuwa haja ya kutafuta sababu dhaifu namna hiyo ili kuwavua vyeo, mbona angesema tu napanga safu yake mbona angeeleweka tu.
 
Obviously ni kweli mara nyingi huwa hivyo ili aonekane kwamba yeye ni mwema au nzuri kwa wananchi.Angalia suala la machinga Mwanza au suala la magereza kuwapatia fedha za kujenga makazi.Mheshimiwa anapenda sifa binafsi directly zimfikie mwenyewe badala ya kutumia serikali kama taasisi yenye wataalamu anuai. Ingekuaje kama JK angetaka sifa si angemtumbua /angempiga chini kwa kuuza nyumba za serikali wakati alipokuwa waziri awamu ya tatu? au angemvizia kwenye kauli ya kuwaambia wakazi wa Kigamboni wapige mbizi? Ama angemmwaga kwa wizara anayosimamia kununua boti mbovu ya Dar-Bagamoyo? Au alipojaribu kuvunja jengo la Tanesco!? (Hiyo nia bado anayo)
Angefanya hivyo leo hii asingekuwa kiongozi.

Kuna maamuzi mengine yanahitaji maelekezo ndio maana huitaji kupitia ngazi tofauti ili kung'amua hitilafu na makosa tofauti.Hili nalo lilikuwa mojawapo.
Kikwete angeanzaje kumtumbua wakati huo huo yeye akiwa macho ameshuhudia mikataba mibovu kuwahi kutokea ktk historia ya nchi yetu ikisainiwa na nchi ikihujumiwa mchana kweupe. Vitu vyote kama ESCROW, SYIMBION, IPTL, RICHMOND etc hayo ni baadhi tu. So ilikuwa ngumu kwa rais aliyepita kuwawajibisha watendaji wake cause kwa namna moja ama nyingine na yy alihusika ndio maana aliweka pamba masikion kelele zilivyokuwa zikipigwa kuhusiana na mikataba hiyo yote yakifisadi
 
Back
Top Bottom