Wakurugenzi wa Halmashauri wataendelea kusimamia Uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais Kama zamani

Dawa ya MTU anayevuruga amani ya nchi kwenye uchaguzi na kuvunja sheria za uchaguzi kwa makusudi kwa sababu ya rushwa ya vyeo ni kumtia tairi kwenye tigo.
 
Hakuwaanza leo toka hujazaliwa hao ndiyo wasimamizi wa Uchaguzi kwa mujibu wa sheria...hata mwaka 1992 tulipoingia kwenye vyama vingi na wewe ndiyo unazaliwa hao waliendelea kuwa wasimamizi na Sasa ndiyo nakuambia hao ndiyo wasimamizi kwa taarifa yako.
Hakika we unamatatizo ya ubongo nimekuambia soma soma katiba inasemaje? Vinginevyo unaongea mipasho
 
Hakuwaanza leo toka hujazaliwa hao ndiyo wasimamizi wa Uchaguzi kwa mujibu wa sheria...hata mwaka 1992 tulipoingia kwenye vyama vingi na wewe ndiyo unazaliwa hao waliendelea kuwa wasimamizi na Sasa ndiyo nakuambia hao ndiyo wasimamizi kwa taarifa yako.

Nadhani una kilema cha ubongo!
Mahakama imewakata kuwarudisha kateni rufaa!
DED’s iliyokuwa nguvu ya CCM bye bye ktk kusimamia uchaguzi wetu

‘DED atakaye mtangaza mpinzani kashinda namfukuza kazi’
 
Hakuna popote pale pameandikwa kuwa sifa moja ya kuteuliwa kuwa DED ni lazima uwe na kadi ya CCM...
Uko sahihi kabisa, tatizo ni kwa wale wanaowateua makada wa ccm ambao wamesababisha yote haya.
 
Pamoja na Mahakama kutoa tafsiri ya sheria ya Uchaguzi lakini naona uwezekano wa Wakurugenzi kuendelea kusimamia Uchaguzi itakuwa pale pale kwasababu wabunge wote waliotangazwa na hao Wakurugenzi wako Bungeni na wanaendelea na majukumu yao ya kibunge kwa mujibu wa sheria na inaoneka sheria ni halali na ndiyo maana hakuna hata mmoja aliyesema kuwa si Mbunge halali.

Mbona sikuelewi.

Kuweni makini mnapo andika.

Hao wakurugenzi hawakuwa wanafanya kazi kinyume na sheria, Bali kwa mujibu wa majukumu yao ya kichama cha CCM hakuna haki kufanya uchaguzi mwenyewe na kujitangazia ushindi mwenyewe.

Sasa ndiyo utaratibu mwingine uandaliwe ili kusiwe na mgongano wa maslahi.
 
Hongera kwa kufuatilia lakini bado hujaelewa kaa chini tukupe somo sie wajuvi wa mambo.

Kwanza sheria ya utumishi wa umma inakataza wakurugenzi kuwa wanachama wa chama cha siasa na namna ya kuwapata wakurugenzi sheria imetoa utaratibu kwa serikali za mitaa kusimamia. Mkurugenzi ni lazima ateuliwe kutoka miongoni mwa watumishi wa umma ambaye ana sifa stahiki.

Pili Katiba ya Nchi imezuia mtu anayesimamia Uchaguzi kuwa mwanachama wa Chama cha siasa.

Hivyo jiwe amevunja sheria na kukanyaga katiba kwa makusudi ili kupendelea chama chake na genge hilo la wanyanga'anyi.

Wabunge waliopo ni halali kwa kuwa walitangazwa na wakurugenzi ambao hawakuwa na vyama vya siasa alio wateua Kikwete kwa kufuata sheria na Katiba.

Wakurugenzi ambao wakisimamia uchaguzi uchaguzi huo utakuwa ni batili ni hawa wa Magu aliowateua kwa kuvunja sheria na Katiba ya nchi.

Ndio maana mahakama imepelekewa Majina ya wakurugenzi 77 Makada wa CCM na mahakama ilipo jiridhisha kwamba ni kweli hao ni makada wa ccm haikupepesa macho wala kumung'unya maneno na kusema kuwa ni Ubatili mtupu wakurugenzi kusimamia uchaguzi.

Kwa maamuzi ya mahakama kuu wakurugenzi ni marufuku kusimamia uchaguzi kwakuwa hawana sifa za kuwa watu wasio pendelea kuegemea upande mmoja labda mahakama ya rufaa itengue amri hiyo.
Hii itakuwa imewasaidia wakurugenzi kufanya shughuli zao za kiserikali na kuachana na vitisho walivyo kuwa wanavipata jimbo likienda upinzani.
Kuna wakurugenzi hawapendi uovu huo ila walikuwa wanalazimika kufanya hivyo kulinda vyeo tuu ila moyoni wanasikitikia uharamia huo wa wizi wa kura .
MUNGU AKUBARIKI KWA UFAFANUZI MZURI
 
Hongera kwa kufuatilia lakini bado hujaelewa kaa chini tukupe somo sie wajuvi wa mambo.

Kwanza sheria ya utumishi wa umma inakataza wakurugenzi kuwa wanachama wa chama cha siasa na namna ya kuwapata wakurugenzi sheria imetoa utaratibu kwa serikali za mitaa kusimamia. Mkurugenzi ni lazima ateuliwe kutoka miongoni mwa watumishi wa umma ambaye ana sifa stahiki.

Pili Katiba ya Nchi imezuia mtu anayesimamia Uchaguzi kuwa mwanachama wa Chama cha siasa.

Hivyo jiwe amevunja sheria na kukanyaga katiba kwa makusudi ili kupendelea chama chake na genge hilo la wanyanga'anyi.

Wabunge waliopo ni halali kwa kuwa walitangazwa na wakurugenzi ambao hawakuwa na vyama vya siasa alio wateua Kikwete kwa kufuata sheria na Katiba.

Wakurugenzi ambao wakisimamia uchaguzi uchaguzi huo utakuwa ni batili ni hawa wa Magu aliowateua kwa kuvunja sheria na Katiba ya nchi.

Ndio maana mahakama imepelekewa Majina ya wakurugenzi 77 Makada wa CCM na mahakama ilipo jiridhisha kwamba ni kweli hao ni makada wa ccm haikupepesa macho wala kumung'unya maneno na kusema kuwa ni Ubatili mtupu wakurugenzi kusimamia uchaguzi.

Kwa maamuzi ya mahakama kuu wakurugenzi ni marufuku kusimamia uchaguzi kwakuwa hawana sifa za kuwa watu wasio pendelea kuegemea upande mmoja labda mahakama ya rufaa itengue amri hiyo.
Hii itakuwa imewasaidia wakurugenzi kufanya shughuli zao za kiserikali na kuachana na vitisho walivyo kuwa wanavipata jimbo likienda upinzani.
Kuna wakurugenzi hawapendi uovu huo ila walikuwa wanalazimika kufanya hivyo kulinda vyeo tuu ila moyoni wanasikitikia uharamia huo wa wizi wa kura .
Mkuu kuna mambo mengi sana huyaelewi kwenye nchi hii. Unajua kiduchu sana. Labda hebu nisaidie ngazi ya mitaa na vijiji wanaosimamia nao ni makada wa CCM? Kama ndiyo hivyo sasa utawatoa wapi hao ambao siyo makada wa CCM jua kuwa CCM ni taasisi iko kila kona ya nchi siyo kama vyama vya upinzani vingi ni SACCOS za watu binafsi. Kwa ujumla CCM ni mfumo wa nchi
 
hata kama wafuatao watateuliwa kuwa kwenye NEC


mbowe, mwenyekiti
lissu, Mkurugenzi wa uchaguzi
wwnyeviti wote wa wilaya wa chadema wakawa wasimamizi was lmajimbo,


ccm itashinda kwa kimbunga Kenneth.


sitachagua chadema tena kwa sababu huwa wananunulika.
Wananunuliwa na nani? Na wakishanunuliwa wanakuwa wanachama wa chama gani?
 
Nimekuwa nafuatilia mijadala mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii kuhusu masuala ya Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi hasa baada ya Mahakama kutoa tafsiri ya sheria za Uchaguzi.


Pamoja na Mahakama kutoa tafsiri ya sheria ya Uchaguzi lakini naona uwezekano wa Wakurugenzi kuendelea kusimamia Uchaguzi itakuwa pale pale kwasababu wabunge wote waliotangazwa na hao Wakurugenzi wako Bungeni na wanaendelea na majukumu yao ya kibunge kwa mujibu wa sheria na inaoneka sheria ni halali na ndiyo maana hakuna hata mmoja aliyesema kuwa si Mbunge halali.

Hizo kelele na harakati zinazoendelea kwenye mitandao naona Sasa na tu kutwanga pilipili mwishowe ni machozi tu.

Hao Wakurugenzi wataendelea kusimamia Uchaguzi mkuu na chaguzi zingine ndogo.na Kama hawastahili kusimamia Uchaguzi basi wabunge wote watangaze kujiuzulu maana hawako kihali ili wasimamizi wengine wateuliwe na Uchaguzi mwingine ufanyike.... kinyume na hapo Ma DED wataendelea kusimamia Uchaguzi Kama ilivyokuwa huko nyuma.
Aisee hata kama wanakupa ugali hebu jionee aibu kidogo!
 
DED watasimamia Uchaguzi.
Labda uchaguzi wa makende yako! Kwa mwandiko wako tu unaonekana wewe ni mister nobody! Mtu anayeganga ganga njaa tu kwa kudoea doea na kujishaua kwa watu!

Nchi haiendeshwi kipumbavu! Kuna utaratibu wa mashauri ya kikatiba! Subiri rufaa itamke vinginevyo ndio uendelee na hao maDED wako!
 
Tatizo ni uelewa mdogo kwa watu kama hawa. Swala liko mahakamani rufaa inasubiri kusikilizwa wewe unaongea utumbo.

Shallow thinking always reflects parochial mind. Pole zako.
 
Japo mm siyo mwanasheria lakini naamini sheria siyo retrospective. Hivyo basi hukumu ya Bob Chacha haitahusu chaguzi zilizopita bali zile zinazokuja. I stand to be corrected
Hivyo ndivyo inavyoeleweka kwa watu wenye akili ukiacha wajinga wajinga kama mleta mada na wote waliompa like na hawa wengi wao wanapatikana huko Lumumba.
 
Ukiwa CCM akili unapeleka wapi?

Siwezi amini kwamba aliyeandika hii kitu ni mtu mzima kabisa.
Mkuu kuna kitu kinaitwa mawazo mbadala, nadhani umepitiwa kidogo! mtu akitofautiana nawe kimawazo, kimtazamo, kiitikadi sio sahihi kuhoji akili yake sababu mawazo ya mtu hujengwa na makuzi, elimu, matembezi nk!! Hatuwezi kufanana mawazo kamwe!!
 
Mkuu kuna kitu kinaitwa mawazo mbadala, nadhani umepitiwa kidogo! mtu akitofautiana nawe kimawazo, kimtazamo, kiitikadi sio sahihi kuhoji akili yake sababu mawazo ya mtu hujengwa na makuzi, elimu, matembezi nk!!

Nimeona hadi aibu kwa hii post yako.

Asante kwa kunikumbusha umuhimu wa kujali mawazo tofauti.

Niombe samahani kwako kwa kukugusa.

Ila kwa muhusika utanisamehe, huyo namjua, analipwa kufanya anachofanya, namfahamu. So, hata yeye hayo siyo mawazo yake isipokuwa ni vile amelipwa kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom