Wakurugenzi wa Halmashauri wataendelea kusimamia Uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais Kama zamani

Iwapo suala linalo husu Wabunge kupatikana kwao litakuwa mahakamani ; Je Bunge linakuwaje na uhalali wa kuwepo ?.
Mahakama imeshatoa hukumu na mwanaaheria mkuu wa serikali ameeleza nia ya serikali kukata rufaa. Tusubiri tuone hii sinema inaishaje!
 
Nimekuwa nafuatilia mijadala mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii kuhusu masuala ya Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi hasa baada ya Mahakama kutoa tafsiri ya sheria za Uchaguzi.


Pamoja na Mahakama kutoa tafsiri ya sheria ya Uchaguzi lakini naona uwezekano wa Wakurugenzi kuendelea kusimamia Uchaguzi itakuwa pale pale kwasababu wabunge wote waliotangazwa na hao Wakurugenzi wako Bungeni na wanaendelea na majukumu yao ya kibunge kwa mujibu wa sheria na inaoneka sheria ni halali na ndiyo maana hakuna hata mmoja aliyesema kuwa si Mbunge halali.

Hizo kelele na harakati zinazoendelea kwenye mitandao naona Sasa na tu kutwanga pilipili mwishowe ni machozi tu.

Hao Wakurugenzi wataendelea kusimamia Uchaguzi mkuu na chaguzi zingine ndogo.na Kama hawastahili kusimamia Uchaguzi basi wabunge wote watangaze kujiuzulu maana hawako kihali ili wasimamizi wengine wateuliwe na Uchaguzi mwingine ufanyike.... kinyume na hapo Ma DED wataendelea kusimamia Uchaguzi Kama ilivyokuwa huko nyuma.
ayo ni mawazo yako mkuu
 
Hivi wananunuliwa na nani?
hata kama wafuatao watateuliwa kuwa kwenye NEC


mbowe, mwenyekiti
lissu, Mkurugenzi wa uchaguzi
wwnyeviti wote wa wilaya wa chadema wakawa wasimamizi was lmajimbo,


ccm itashinda kwa kimbunga Kenneth.


sitachagua chadema tena kwa sababu huwa wananunulika.
 
Kitu muhimu kuliko chochote ni kuwa sheria kuhalalisha jambo lolote ni pamoja na kuwepo kwa mantiki inayokubalika kimantiki. Sasa kama sheria inahalalisha jambo bila mantiki inayokubalika kimantiki, lazima kuna tatizo kubwa sana katika jamii hiyo.
 
Nakumbuka nitoa hayo maelezo baada ya hukumu ya kesi kutolewa Sasa leo Mahakama Kuu imetengua hukumu ya awali.DED kidedea au tena Kuna kukata rufaa.
 
Soma vizuri katiba ya jamhuri ya watz ya 1977 ibara ya 74-75,watasimamia kwa ubabe na upuuzi wa wajinga kama wewe na wanaokutuma tu sio kwa mujibu wa sheria
Mahakama Kuu imetumia sheria gani?
 
hata kama wafuatao watateuliwa kuwa kwenye NEC


mbowe, mwenyekiti
lissu, Mkurugenzi wa uchaguzi
wwnyeviti wote wa wilaya wa chadema wakawa wasimamizi was lmajimbo,


ccm itashinda kwa kimbunga Kenneth.


sitachagua chadema tena kwa sababu huwa wananunulika.
Hii ndiyo shida ya waganga wa kienyeji kama wewe!!!!
 
Back
Top Bottom