Hakuwaanza leo toka hujazaliwa hao ndiyo wasimamizi wa Uchaguzi kwa mujibu wa sheria...hata mwaka 1992 tulipoingia kwenye vyama vingi na wewe ndiyo unazaliwa hao waliendelea kuwa wasimamizi na Sasa ndiyo nakuambia hao ndiyo wasimamizi kwa taarifa yako.
Bangi mbaya kwa yule inayomdhuru wengine hiyo ni mboga wengine ni dawa.....
Jaribu kujichomeka dudu uone utakavyovimbishwa tumbo?hata kama wafuatao watateuliwa kuwa kwenye NEC
mbowe, mwenyekiti
lissu, Mkurugenzi wa uchaguzi
wwnyeviti wote wa wilaya wa chadema wakawa wasimamizi was lmajimbo,
ccm itashinda kwa kimbunga Kenneth.
sitachagua chadema tena kwa sababu huwa wananunulika.
Huyu ni wa kumsaka na kumsukumia ndani!Unadhalilisha nguo ya jeshi kwenye profile yako
Vyovyote unavyofikiri.Hukumu iliyotolewa imetolewa na walioipokea wanazidi kuipotosha.
Wewe kama poyoyo wewe.Hakuwaanza leo toka hujazaliwa hao ndiyo wasimamizi wa Uchaguzi kwa mujibu wa sheria...hata mwaka 1992 tulipoingia kwenye vyama vingi na wewe ndiyo unazaliwa hao waliendelea kuwa wasimamizi na Sasa ndiyo nakuambia hao ndiyo wasimamizi kwa taarifa yako.
Watu ninaowaheshimu wakiandika ujinga huwa nasikitika sana. Yaani na wewe unaandika kwa kiwango cha chini kiasi hiki tatum? Yaani ulitaka mahakama ihukumu hoja ambayo haikupelekwa mahakamani? Ni lini uliambiwa kesi husika ilihusisha uhalali wa wabunge wa sasa?Nimekuwa nafuatilia mijadala mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii kuhusu masuala ya Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi hasa baada ya Mahakama kutoa tafsiri ya sheria za Uchaguzi.
Pamoja na Mahakama kutoa tafsiri ya sheria ya Uchaguzi lakini naona uwezekano wa Wakurugenzi kuendelea kusimamia Uchaguzi itakuwa pale pale kwasababu wabunge wote waliotangazwa na hao Wakurugenzi wako Bungeni na wanaendelea na majukumu yao ya kibunge kwa mujibu wa sheria na inaoneka sheria ni halali na ndiyo maana hakuna hata mmoja aliyesema kuwa si Mbunge halali.
Hizo kelele na harakati zinazoendelea kwenye mitandao naona Sasa na tu kutwanga pilipili mwishowe ni machozi tu.
Hao Wakurugenzi wataendelea kusimamia Uchaguzi mkuu na chaguzi zingine ndogo.na Kama hawastahili kusimamia Uchaguzi basi wabunge wote watangaze kujiuzulu maana hawako kihali ili wasimamizi wengine wateuliwe na Uchaguzi mwingine ufanyike.... kinyume na hapo Ma DED wataendelea kusimamia Uchaguzi Kama ilivyokuwa huko nyuma.
MaDED watasimamia Uchaguzi mkuu....pamoja na kampeni zenu za mitandaoni.
Hawa mliowapanga tayari mmbugi step.. mnawaza wizi tuTutawaweka wasio na hizo kadi unazozisema lakini watabaki kuwa ni Wakurugenzi na watakusimamia wakati wa Uchaguzi.
Mawazo yako hasi tu....wapinzani walipitishwa na hao hao MaDED
Ujivunja sheria huwezi kuendelea kuvunja sheria inabidi utii ndio maana kuna onyoNimekuwa nafuatilia mijadala mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii kuhusu masuala ya Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi hasa baada ya Mahakama kutoa tafsiri ya sheria za Uchaguzi.
Pamoja na Mahakama kutoa tafsiri ya sheria ya Uchaguzi lakini naona uwezekano wa Wakurugenzi kuendelea kusimamia Uchaguzi itakuwa pale pale kwasababu wabunge wote waliotangazwa na hao Wakurugenzi wako Bungeni na wanaendelea na majukumu yao ya kibunge kwa mujibu wa sheria na inaoneka sheria ni halali na ndiyo maana hakuna hata mmoja aliyesema kuwa si Mbunge halali.
Hizo kelele na harakati zinazoendelea kwenye mitandao naona Sasa na tu kutwanga pilipili mwishowe ni machozi tu.
Hao Wakurugenzi wataendelea kusimamia Uchaguzi mkuu na chaguzi zingine ndogo.na Kama hawastahili kusimamia Uchaguzi basi wabunge wote watangaze kujiuzulu maana hawako kihali ili wasimamizi wengine wateuliwe na Uchaguzi mwingine ufanyike.... kinyume na hapo Ma DED wataendelea kusimamia Uchaguzi Kama ilivyokuwa huko nyuma.
Kama Uchaguzi ulikuwa haramu kwa mujibu wa hukumu kwasababu sheria zimekiukwa basi kila kitu kinachofanyika ni haramu na batili.Tujipange upya kufanya kwa kujibu wa hukumu hiyo.Na hao wanakubali hiyo hukumu wajiuzuru wote kuonyesha kuwa walikwenda kinyume na sheria.Watu ninaowaheshimu wakiandika ujinga huwa nasikitika sana. Yaani na wewe unaandika kwa kiwango cha chini kiasi hiki tatum? Yaani ulitaka mahakama ihukumu hoja ambayo haikupelekwa mahakamani? Ni lini uliambiwa kesi husika ilihusisha uhalali wa wabunge wa sasa?
Ukiheshimika Jiheshimu......!
kijana naona umepangiwa kabisa chorus ya wimbo wako! Tutakukomaje leo!Hajalishi wewe Ni mwanasheia au siyo mwanasheria....DED watabaki kuwa wasimamizi wa Uchaguzi.