Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,810
- 623
Wakuu nimepata taarifa zisizo rasmi kwamba huu ndio wakati wa zile hela za walimu za kujikimu ,nauli na hela za mizigo kuchakachuliwa.
Ushauri wangu kwenu walimu wapya ni kuwa makini na kutafuta waraka wa serikali kwenda kwa wakurugenzi hao unao onyesha malipo mnayostahili kupata kila mwalimu.
Walimu muache kuwa waoga, taaluma mmesomea na mmefuzu hivyo kamwe msikubali vitisho wa wakurugenzi hao.
Ushauri wangu kwenu walimu wapya ni kuwa makini na kutafuta waraka wa serikali kwenda kwa wakurugenzi hao unao onyesha malipo mnayostahili kupata kila mwalimu.
Walimu muache kuwa waoga, taaluma mmesomea na mmefuzu hivyo kamwe msikubali vitisho wa wakurugenzi hao.