Wakurugenzi wa halmashauri wajiandaa kuchakachua hela za walimu.

Mpatanishi

JF-Expert Member
Jul 1, 2011
1,810
623
Wakuu nimepata taarifa zisizo rasmi kwamba huu ndio wakati wa zile hela za walimu za kujikimu ,nauli na hela za mizigo kuchakachuliwa.

Ushauri wangu kwenu walimu wapya ni kuwa makini na kutafuta waraka wa serikali kwenda kwa wakurugenzi hao unao onyesha malipo mnayostahili kupata kila mwalimu.

Walimu muache kuwa waoga, taaluma mmesomea na mmefuzu hivyo kamwe msikubali vitisho wa wakurugenzi hao.
 
Wakurudengi wasizuliwe, waalimu wafuate taratibu na fehd zao watapewa kama zilivyopangwa na serikali.
 
Wakurudengi wasizuliwe, waalimu wafuate taratibu na fehd zao watapewa kama zilivyopangwa na serikali.

Wewe mamatau umeelewa kinachosemwa au? Unaweza kufuata taratibu huku aliejuu asifanye taratibu zimpasavyo?
 
Wakurudengi wasizuliwe, waalimu wafuate taratibu na fehd zao watapewa kama zilivyopangwa na serikali.

wewe mama ni DED nini?! Unataka kukataa kitu gani wakati kila mwaka haya mambo yanakuwepo?!
 
mkuu huyu mama tumsamehe tu mana hajui haya matatizo wanayopata walimu.

na sio uzushi ngoja wajifanye mazoba waone.watawalaghai kwa kusema kuwa walimu kutoka vyuoni ni wakorofi wamezoea migomo, wale ni wa kuwaendea kama unatoka boko haramu vile.waraka unapatikana ofisi ya utumishi,cwt, shuleni na kwa afisaelimu.lkn hawa wawili utumishi na afisaelimu ni ngumu kukupa lao moja.kaeni mtambue huo waraka ni haki yenu kuupata huwezi amini hawa watu wanakula mamilioni ya hela za walimu wanaoripoti
 
na sio uzushi ngoja wajifanye mazoba waone.watawalaghai kwa kusema kuwa walimu kutoka vyuoni ni wakorofi wamezoea migomo, wale ni wa kuwaendea kama unatoka boko haramu vile.waraka unapatikana ofisi ya utumishi,cwt, shuleni na kwa afisaelimu.lkn hawa wawili utumishi na afisaelimu ni ngumu kukupa lao moja.kaeni mtambue huo waraka ni haki yenu kuupata huwezi amini hawa watu wanakula mamilioni ya hela za walimu wanaoripoti

Mkuu kama waweza pata huo waraka tusaidie kutuwekee hapa maana tunataka full details wasijeenda kutuibia bure,ok kama unakumbuka je waraka wa mwaka jana ulikuaje? eg ile hela ya siku 14 ilikua bei gani? pia kuhusu umbali wa km walikua wanalipaje? na mengine mengi uyajuayo mkuu
 
Mwaka jana mwezi wa nne wametoa waraka mpya kwa marekebisho ya waraka uliopita.fedha za kujikimu ni siku saba inategemea na kiwango cha elimu degree kwa jiji ni 85000,manispaa 65000,halmashauri 45000.pesa ya njiani [on transit sh.35000 kwa safari ya masaa zaidi ya 6.kama una mke,mtoto zaidi ya miaka 3 au mume muwe na cheti cha ndoa na mtoto analipwa nusu ya fedha ya kujikimu ya mwajiriwa kwa siku saba.mizigo ni km ulizotoka times tan 3 times 1000 yani kila km 1 ni sh.1000 ni sawa na 3000 times km ulizotoka hakikisha unapata waraka kabla ya kuripoti nenda hlmashauri yoyote uliyopo utapewa
 
Wakurudengi wasizuliwe, waalimu wafuate taratibu na fehd zao watapewa kama zilivyopangwa na serikali.

kwani siku zote wanapanga nani kama si serikali jamani kuna ufisadi wa kuoza kwenye halmashauri hela tu za likizo mtu anakuzidishia kiwango ulichoomba ili ikifika tu wanachukua kiasi chao. kuhusu hela za kujikimu za walimu hata idara ya afya mpango unasukwa toka huko tamisemi mtashangaa kila ngazi unayoenda kudai wanalindana kwa kupiga danadana offcourse walimu wanafata utaratibu je hao wa juu wanafuata utaratibu watu husema kabla ya kumwagikiwa upupu huwezi jua mwasho wake .yani unaenda tamisemi mtu anakupa laivu kuwa sisi tunatabia ya kulindana
 
Wakuu nimepata taarifa zisizo rasmi kwamba huu ndio wakati wa zile hela za walimu za kujikimu ,nauli na hela za mizigo kuchakachuliwa.

Ushauri wangu kwenu walimu wapya ni kuwa makini na kutafuta waraka wa serikali kwenda kwa wakurugenzi hao unao onyesha malipo mnayostahili kupata kila mwalimu.

Walimu muache kuwa waoga, taaluma mmesomea na mmefuzu hivyo kamwe msikubali vitisho wa wakurugenzi hao.

Ni tabia mbaya sana ku-generalize vitu kama alivyofanya hivi vitu, zaidi ni kutaka kujenga chuki kwa wakurugenzi kitu ambacho kitasababisha hawa walimu wafundishe kwa tension na pengine kusababisha kudorora kwa elimu kwa sababu walimu wapya wataamini wanaonewa kitu ambacho si kwa kweli kwa baadhi yao.

Nijuanvyo mimi kuna walaka ambao unaeleza kuwa mtumishi anayeanza kazi atalipwa substance allowance ya siku 14 habari ya mizigo ilishafutwa kwa sababu itakuwa ni njia nyingine ya kumdhurumu mtanzania kwani mwalimu anayeanza kazi akitokea chuoni hatutegemea atakuwa na mizigo ya tani 3 ambayo ndio atataka alipwe pesa kama nauli ya kusafirishia mizigo hiyo toka place of domicide. Acha kuwapotosha wenzio standing order ipo kwa ajili ya kuwaongoza inapatikana huko halmashauri mtakapo report!

Acha kuwapotosha watanzania ndugu.
 
Mwaka jana mwezi wa nne wametoa waraka mpya kwa marekebisho ya waraka uliopita.fedha za kujikimu ni siku saba inategemea na kiwango cha elimu degree kwa jiji ni 85000,manispaa 65000,halmashauri 45000.pesa ya njiani [on transit sh.35000 kwa safari ya masaa zaidi ya 6.kama una mke,mtoto zaidi ya miaka 3 au mume muwe na cheti cha ndoa na mtoto analipwa nusu ya fedha ya kujikimu ya mwajiriwa kwa siku saba.mizigo ni km ulizotoka times tan 3 times 1000 yani kila km 1 ni sh.1000 ni sawa na 3000 times km ulizotoka hakikisha unapata waraka kabla ya kuripoti nenda hlmashauri yoyote uliyopo utapewa

Mkuu asante sana J3 ntaenda cwt makao makuu wanipatie ili nianze kujipigia hesabu mapemaa maana wengne tumesoma vyuo vinavyosemekana migomo imetamalaki,mkuu mie graduate
 
Mkuu asante sana J3 ntaenda cwt makao makuu wanipatie ili nianze kujipigia hesabu mapemaa maana wengne tumesoma vyuo vinavyosemekana migomo imetamalaki,mkuu mie graduate

mkuu tutafutane twende pale cwt kupata huo waraka hakuna cha mkoba wala makoba mwaka huu wataelewa tu.
Kuna mdogo wangu yupo village inabidi tupate huu waraka nae wasije wakamchakachua posho zake.
 
na sio uzushi ngoja wajifanye mazoba waone.watawalaghai kwa kusema kuwa walimu kutoka vyuoni ni wakorofi wamezoea migomo, wale ni wa kuwaendea kama unatoka boko haramu vile.waraka unapatikana ofisi ya utumishi,cwt, shuleni na kwa afisaelimu.lkn hawa wawili utumishi na afisaelimu ni ngumu kukupa lao moja.kaeni mtambue huo waraka ni haki yenu kuupata huwezi amini hawa watu wanakula mamilioni ya hela za walimu wanaoripoti

asante sana hapa watu wataelewa tu. Tunachotaka ni walimu kupata haki zao zote bila kuletewa uchakachuaji.
Najua wabongo wengi wamezoea kucheza na haki za watu hivyo hapa watu wa halmashauri watataka kupata ada za watoto wao na hela ya kula kilaji kupitia posho za walimu hawa.
Mm tayari ni mwalimu hvyo najua haya mambo yapo na mwaka huu ndugu zangu wawili nao waraka unawahusu.
 
mkuu tutafutane twende pale cwt kupata huo waraka hakuna cha mkoba wala makoba mwaka huu wataelewa tu.
Kuna mdogo wangu yupo village inabidi tupate huu waraka nae wasije wakamchakachua posho zake.

Haina noma mkuu,wewe uko wapi kwa sasa? Mimi ni tbt so niPm ili tujue namna ya kukutana twende cwt huko
 
Ni tabia mbaya sana ku-generalize vitu kama alivyofanya hivi vitu, zaidi ni kutaka kujenga chuki kwa wakurugenzi kitu ambacho kitasababisha hawa walimu wafundishe kwa tension na pengine kusababisha kudorora kwa elimu kwa sababu walimu wapya wataamini wanaonewa kitu ambacho si kwa kweli kwa baadhi yao.

Nijuanvyo mimi kuna walaka ambao unaeleza kuwa mtumishi anayeanza kazi atalipwa substance allowance ya siku 14 habari ya mizigo ilishafutwa kwa sababu itakuwa ni njia nyingine ya kumdhurumu mtanzania kwani mwalimu anayeanza kazi akitokea chuoni hatutegemea atakuwa na mizigo ya tani 3 ambayo ndio atataka alipwe pesa kama nauli ya kusafirishia mizigo hiyo toka place of domicide. Acha kuwapotosha wenzio standing order ipo kwa ajili ya kuwaongoza inapatikana huko halmashauri mtakapo report!

Acha kuwapotosha watanzania ndugu.

We ndo mpotoshaji mkubwa humu waraka umeusoma au ndo wale wanaoupata na kuweka mezani anafanya kazi kwa uzoefu .kwanza waraka huo usemao wewe ni upi sababu uliotoka mwaka jana mwezi wa nne umebadilishwa badala ya tani 5 kwa degree wameweka tani 3 na diploma ilikuwa tan 3 wameweka level sawa tani 3 kwa wote na ndio tulivyolipwa sisi na fedha za kujikimu si siku 14 tena ni siku 7.ufinyo wa kufikiri eti hutegemei wanaotoka chuoni hawawezi kuwa na mizigo kumauka kuna watu tayari wanakwenda chuoni na familia zao na wengine walikuwa wanafanya private wamejiendeleza na wengine wameoa na kuolewa wakiwa chuoni kumbuka siku hizi mtu yupo chuoni lakini anafanya kazi nyingine mtaani we ndio bingwa wa kugeneralize. jamani vijana njooni tuchape kazi na tujikomboe msisubiri cwt wale imebaki story tu wazee huku wanatuangusha uwezo tunao ,nia tumeonewa tumechoka hakuna kulishwa unga wa ndere na hawa wakina bi kirembwe.halimashauri zote zimeoza eti mtu unaomba waraka unaambiwa ni siri na huku umeandikwa uwafikie walengwa waajiri na waajiriwa.wanajf kazi kwenu kupima kama nadanganya au huyu ndo anadanganya.
 
We ndo mpotoshaji mkubwa humu waraka umeusoma au ndo wale wanaoupata na kuweka mezani anafanya kazi kwa uzoefu .kwanza waraka huo usemao wewe ni upi sababu uliotoka mwaka jana mwezi wa nne umebadilishwa badala ya tani 5 kwa degree wameweka tani 3 na diploma ilikuwa tan 3 wameweka level sawa tani 3 kwa wote na ndio tulivyolipwa sisi na fedha za kujikimu si siku 14 tena ni siku 7.ufinyo wa kufikiri eti hutegemei wanaotoka chuoni hawawezi kuwa na mizigo kumauka kuna watu tayari wanakwenda chuoni na familia zao na wengine walikuwa wanafanya private wamejiendeleza na wengine wameoa na kuolewa wakiwa chuoni kumbuka siku hizi mtu yupo chuoni lakini anafanya kazi nyingine mtaani we ndio bingwa wa kugeneralize. jamani vijana njooni tuchape kazi na tujikomboe msisubiri cwt wale imebaki story tu wazee huku wanatuangusha uwezo tunao ,nia tumeonewa tumechoka hakuna kulishwa unga wa ndere na hawa wakina bi kirembwe.halimashauri zote zimeoza eti mtu unaomba waraka unaambiwa ni siri na huku umeandikwa uwafikie walengwa waajiri na waajiriwa.wanajf kazi kwenu kupima kama nadanganya au huyu ndo anadanganya.

Mkuu huo waraka ulitenguliwa na waraka mwingine ambao uliongeza posho za vikao mbalimbali vya halmashauri akafika hadi 200,000/- kwa mwenyekiti na hapo ndipo ule waraka wa posho mpya ukatenguliwa hii nadhani ni baada ya kuona hali ya uchumi si nzuri!

Mkuu cha kuangalia ni namna ambavyo scale za mishahara ya walimu inaweza kubadilishwa na kufikia walau ile ya sekta ya Afya. Kwa gap lilopo wanatofautiana kwa zaidi ya asilimia 50. Hizo posho hazina msaada maana ni kitu cha mara moja, wakati mshahara ndo mapngo mzima!
 
Back
Top Bottom