Wakurugenzi wa halmashauri wajiandaa kuchakachua hela za walimu.

We ndo mpotoshaji mkubwa humu waraka umeusoma au ndo wale wanaoupata na kuweka mezani anafanya kazi kwa uzoefu .kwanza waraka huo usemao wewe ni upi sababu uliotoka mwaka jana mwezi wa nne umebadilishwa badala ya tani 5 kwa degree wameweka tani 3 na diploma ilikuwa tan 3 wameweka level sawa tani 3 kwa wote na ndio tulivyolipwa sisi na fedha za kujikimu si siku 14 tena ni siku 7.ufinyo wa kufikiri eti hutegemei wanaotoka chuoni hawawezi kuwa na mizigo kumauka kuna watu tayari wanakwenda chuoni na familia zao na wengine walikuwa wanafanya private wamejiendeleza na wengine wameoa na kuolewa wakiwa chuoni kumbuka siku hizi mtu yupo chuoni lakini anafanya kazi nyingine mtaani we ndio bingwa wa kugeneralize. jamani vijana njooni tuchape kazi na tujikomboe msisubiri cwt wale imebaki story tu wazee huku wanatuangusha uwezo tunao ,nia tumeonewa tumechoka hakuna kulishwa unga wa ndere na hawa wakina bi kirembwe.halimashauri zote zimeoza eti mtu unaomba waraka unaambiwa ni siri na huku umeandikwa uwafikie walengwa waajiri na waajiriwa.wanajf kazi kwenu kupima kama nadanganya au huyu ndo anadanganya.

Mkuu msamehe tu huyu hana analojua ni KILAZA tu.
Usikute huyu ni mmoja wa wanaokula hela zetu.

Eti mwajiriwa kutoka chuo hana mizigo yani huyu jamaa mwehu haswaa mimi nilipokua 4m 6 leaver tu nilipiga tempo na kufanikiwa kununua kila kitu cha ndani mizigo ambayo kusafirisha lazima nikodi canter.
 
Wadau mie pia nina safari ya kwenda Cwt, jumatatu! Anayetaka kujiunga nami in nsha Allah namkaribisha aniPM..
 
Back
Top Bottom