Haina noma mkuu,wewe uko wapi kwa sasa? Mimi ni tbt so niPm ili tujue namna ya kukutana twende cwt huko
We ndo mpotoshaji mkubwa humu waraka umeusoma au ndo wale wanaoupata na kuweka mezani anafanya kazi kwa uzoefu .kwanza waraka huo usemao wewe ni upi sababu uliotoka mwaka jana mwezi wa nne umebadilishwa badala ya tani 5 kwa degree wameweka tani 3 na diploma ilikuwa tan 3 wameweka level sawa tani 3 kwa wote na ndio tulivyolipwa sisi na fedha za kujikimu si siku 14 tena ni siku 7.ufinyo wa kufikiri eti hutegemei wanaotoka chuoni hawawezi kuwa na mizigo kumauka kuna watu tayari wanakwenda chuoni na familia zao na wengine walikuwa wanafanya private wamejiendeleza na wengine wameoa na kuolewa wakiwa chuoni kumbuka siku hizi mtu yupo chuoni lakini anafanya kazi nyingine mtaani we ndio bingwa wa kugeneralize. jamani vijana njooni tuchape kazi na tujikomboe msisubiri cwt wale imebaki story tu wazee huku wanatuangusha uwezo tunao ,nia tumeonewa tumechoka hakuna kulishwa unga wa ndere na hawa wakina bi kirembwe.halimashauri zote zimeoza eti mtu unaomba waraka unaambiwa ni siri na huku umeandikwa uwafikie walengwa waajiri na waajiriwa.wanajf kazi kwenu kupima kama nadanganya au huyu ndo anadanganya.
Mimi napita tu hapa
Cheki pm yako mkuu.
Ngoja nicheki mkuu