Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,590
- 11,379
Chitchat ,itakuwa wapo tu wamama wazuri na familia zaoSijauliza wapo wapi!!! Najiuliza wapoje. 😀
Chitchat ,itakuwa wapo tu wamama wazuri na familia zaoSijauliza wapo wapi!!! Najiuliza wapoje. 😀
Sawa 🙏Chitchat ,itakuwa wapo tu wamama wazuri na familia zao
😂😂😂🙌Niliwahi mtegeshea peni makalioni mshikaji mmoja wakati kasimama kujibu swali, alipikuja kukaa(kuikalia) sintosahau[emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji91][emoji41]
Tulikuwa tunapenda sana kuchezea maji na utelezi hasa mvua inaponyesha, tena bila viatu kama picha hii inavyoonesha.
![]()
Dah umenikumbusha mbali sana.Kuchuma fimbo...kuleta mbolea ...kumwagilia mauwa ya viunga🎒📚
Nyoa nywele ziko na size 1 fimbo matakon wasichanaDah umenikumbusha mbali sana.
🤣🤣🤣Daaah enzi hizo kuna demu nilikuwa nampenda mtoto wa mwalimu wangu nakumbuka nikamchapa barua ya mtongozo ikiwa imewekwa kwenye bahasha na maneno kiss before open😂😂😂😂 aisee mama yake ndo akaikamata sitokaa nisahau walahi iyo mwaka 1993
Ikawajeee, 😂😂😂😂Daaah enzi hizo kuna demu nilikuwa nampenda mtoto wa mwalimu wangu nakumbuka nikamchapa barua ya mtongozo ikiwa imewekwa kwenye bahasha na maneno kiss before open😂😂😂😂 aisee mama yake ndo akaikamata sitokaa nisahau walahi iyo mwaka 1993
😁DadeqDaaah enzi hizo kuna demu nilikuwa nampenda mtoto wa mwalimu wangu nakumbuka nikamchapa barua ya mtongozo ikiwa imewekwa kwenye bahasha na maneno kiss before open😂😂😂😂 aisee mama yake ndo akaikamata sitokaa nisahau walahi iyo mwaka 1993
😂😂😂 acha kabisa tuliitwa assemble shule nzima ikasomwa pale mbele na binti wa yule teacher alafu akamalizia kwako jozza😂😂😂😂 oyaa niliitiwa mzazi wangu shule akiwa ni bibi yangu aisee nilikula stiki za walimu wote na waliambiwa wanichape fimbo 10 kila mmoja bibi kakaa pembeni ukitikisika anafuta😂😂😂😂 walimu wakaanza kuniona huruma sasa bibi basi inatosha, bibi anasema ukishindwa nainuka mimi mwenyewe😂😂😂 na mimi kuliko bibi bora walimu waendelee kunizibua badae jioni binti aliniambia tukutane shida nyingine iyo😂😂😂😂Ikawajeee, 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 acha kabisa tuliitwa assemble shule nzima ikasomwa pale mbele na binti wa yule teacher alafu akamalizia kwako jozza😂😂😂😂 oyaa niliitiwa mzazi wangu shule akiwa ni bibi yangu aisee nilikula stiki za walimu wote na waliambiwa wanichape fimbo 10 kila mmoja bibi kakaa pembeni ukitikisika anafuta😂😂😂😂 walimu wakaanza kuniona huruma sasa bibi basi inatosha, bibi anasema ukishindwa nainuka mimi mwenyewe😂😂😂 na mimi kuliko bibi bora walimu waendelee kunizibua badae jioni binti aliniambia tukutane shida nyingine iyo😂😂😂😂
Achaa mkuu😁Dadeq
Badae naonana na mtoto wa kike kwenye mahindi huko shambani ndo sehemu yamakutano kabeba trei la mayai kaniletea tobaaa😂😂😂😂 haya naenda kusema nimetoa wapi😂😂😂😂 nikachukua lile trei alivyosepa nikaanza kulengea kware yale mayai mpaka yakaisha nikarudi zangu om ni kisanga aisee sijui yule dada atakuwa wapi walahi popote ulipo jozza nakukumbuka sana😂😂😂😂😂