Wakumbuka nini enzi za shule ya msingi?

Wakumbuka nini enzi za shule ya msingi?

Nakumbuka tukiwa darasa la kwanza kulikuwa na yale maswali rahisi,basi mwalimu aliuliza darasa.
Mwalimu;Rais wa kwanza wa Tanzania ni Nye!?
Akitegemea wanafunzi watamjibu rere,basi Kuna mwanafunzi mwenzetu akamjibu
Mwanafunzi: Ku nya
Nalog off Z
 
Back
Top Bottom