Wakumbuka nini enzi za shule ya msingi?

Daah nimesoma Baadhi ya comments hasa Zile za mwanzo mwanzo 2010, Wale waliocoment wakiwa ma bint sijui wapoje sikuizi.
 
Katoto?😭😭😭😭 sikupi zawadi shenzy

Aikooooo! Umekua sasa?

Nilikua likizo nikajua mtajifunza na nidhamu kidogo,😎😎 kumbe bado mpo vile vile narudi na zawadi zangu mimi😭😭😭😭
Husemwi wewe mwezi umepotea huonekani , 🤣😂😂😂 zawadi unarudi nazo wapi
 
Back
Top Bottom