Miss Kyalla
Senior Member
- May 13, 2019
- 168
- 135
Nakumbuka nilikuwa mpole tu lkn sionewi na mwanamkee, ata akiwa bonge na mkubwaje mwanamke napigana nae lkn staki walimu wajue naenda kupigana hukoo viwanjani, lkn mwanaume ata akiwa mdogo vp sithubutu ata kurusha ngumi niliwaogopa balaa
Sitasahau darasa la pili nilikutana namvuta bangi mmoja akanikalisha chini huku akinisihi nisiogope kisha kuanza kuomba nimpe changu na yeye anipe chakee nikamwambia mpaka tuende hospital vikakatwee na kipindi hicho nilitaman sana kuzaliwa mwanaumee nikaenda kusema nyumbani wakacheka kuzimia lkn sijuelewa, nilikuja kuelewa alimaanisha nini nikiwa form one hahahahaaa
Sitasahau jamani nilikuwaga naakili primary lkn pacha wangu hajui ata kutofautisha daftar la kiswahili na english au sayancee hahahaa nilikuwa naumia sana akichapwa au akipewa adhabu nzitoo
Sitasahau kakaangu alimaliza la saba na sisi kukataa kwenda chekechea eti na sisi tumemaliza bushiii hahaaa
Sitasahau zile msituumizieeee inapochezwa mechi ya la sita na la sabaa au shule tofaut na vingine vingiiiii
Sitasahau darasa la pili nilikutana namvuta bangi mmoja akanikalisha chini huku akinisihi nisiogope kisha kuanza kuomba nimpe changu na yeye anipe chakee nikamwambia mpaka tuende hospital vikakatwee na kipindi hicho nilitaman sana kuzaliwa mwanaumee nikaenda kusema nyumbani wakacheka kuzimia lkn sijuelewa, nilikuja kuelewa alimaanisha nini nikiwa form one hahahahaaa
Sitasahau jamani nilikuwaga naakili primary lkn pacha wangu hajui ata kutofautisha daftar la kiswahili na english au sayancee hahahaa nilikuwa naumia sana akichapwa au akipewa adhabu nzitoo
Sitasahau kakaangu alimaliza la saba na sisi kukataa kwenda chekechea eti na sisi tumemaliza bushiii hahaaa
Sitasahau zile msituumizieeee inapochezwa mechi ya la sita na la sabaa au shule tofaut na vingine vingiiiii