Lakini mkuu, hivi hujasikia bajeti ya kilimo iligyoongezwa mwaka huu?, Ofisa ugani wote wamepewa usafiri just kama enzi za mwalimu,, tuwage na shukrani japo kiduchu jamani,, roho mbaya haijengi😁Haaaa haaaa waandamanaji wapo karne ya 10 hawajui kama wanatumika.
ccm ni wajinga sana wanafikiri tanzania bado ya wapumbavu kama wao.Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.
Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.
View attachment 2426235
mageuz makubwa kwa wajinga wa lumumbaTukiweka siasa kando na kujadili Fact; Rais Samia amefanya mageuzi makubwa mno ktk sekta ya kilimo. 1. Serikali kuweka ruzuku kupunguza bei ya mbolea. Leo nimesoma sehemu, shehena ya tani 400,000 za mbolea ya Russia zinazuiliwa kwa vikwazo, hali inayochochea bei kubwa ktk nchi zinazoendelea. 2. BoT kuweka utaratihu mzuri ambao taasisi za fedha kama CRDB na NMB zimeshusha riba ya mikopo ya kilimo, 3. Masoko nje kama China yamefunguka. 4. Bajeti ya kilimo, umwagiliaji safi. Changamoto ni climate ikija kukaa sawa tutaona impact ya kinachofanyika sasa#Wakulima wanayo haki ya kuonyesha hisia zao za kuridhishwa. Tuheshimu uhuru wao.🙏🙏🙏
Hongereni Sana wakulima wa bukoba kwa kunga mkono harakati za mama,ila nasi tunaombi Kama kunawezekana fungua mikutano ya hadharani tuweze kukuonyesha tunakunga mkono.Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.
Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.
View attachment 2426235
Huu ndio wakati wa Kulogana vizuri
Hii nchi hii Dah nimepotezaWakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.
Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.
View attachment 2426235
kunawaka moto, kwa motoooooo
Haya sio maandamano, haya ni matembezi ya jazba dhidi ya Bashiru ze enemy of ze pipo.😂😂😂😂😂😂the comedy show
Saaa hii michezo ya kizamani ndo mnalileta karne hii. Yani Chalamila!! 😂😂😂Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.
Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.
View attachment 2426235
Sasa inabidi na hawa Foba wajitokeze wajibu mapigo wa kufanya matembezi ya jazba wakiwa na mabango yao ya mchongo.
Hakuna Mhaya mjinga kiasi hicho,huyu Charamila kaenda kwenye mialo kaokota wanika dagaa na kuwapa alfu 5000 wajifanye wakalima.Mkulima gani wa Kagera hana matatizo?Watu wamelima kahawa unalazimishwa kupeleka kwenye chama cha ushirika na kununua kwa bei ndogo, wakati kuna watu kutoka Uganda wanatoa bei mzuri,watu wamelima vanilla,watu wanawatapeli selikali inaona,ndizi zinaozea mashambani amna soko,eti leo wakulima wa Kagera wameandamana,hakuna Mhaya mjinga kiasi hicho.Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.
Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.
View attachment 2426235
Utakuta wamefika tu wakakabidhiwa buku tano- tano na bangoWatu wenyewe mbona kama hawajui wameitiwa nini.
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.
Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.
View attachment 2426235
CCM kwa motooooo hahaha hakukalikiSasa inabidi na hawa Foba wajitokeze wajibu mapigo wa kufanya matembezi ya jazba wakiwa na mabango yao ya mchongo.