Wakulima waandamana mkoani Kagera kwaajili ya kuwaombea msamaha wanasiasa ambao hawatambui mchango wa serikali katika sekta ya kilimo

Haaaa haaaa waandamanaji wapo karne ya 10 hawajui kama wanatumika.
Lakini mkuu, hivi hujasikia bajeti ya kilimo iligyoongezwa mwaka huu?, Ofisa ugani wote wamepewa usafiri just kama enzi za mwalimu,, tuwage na shukrani japo kiduchu jamani,, roho mbaya haijengi😁
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
ccm ni wajinga sana wanafikiri tanzania bado ya wapumbavu kama wao.
 
Tukiweka siasa kando na kujadili Fact; Rais Samia amefanya mageuzi makubwa mno ktk sekta ya kilimo. 1. Serikali kuweka ruzuku kupunguza bei ya mbolea. Leo nimesoma sehemu, shehena ya tani 400,000 za mbolea ya Russia zinazuiliwa kwa vikwazo, hali inayochochea bei kubwa ktk nchi zinazoendelea. 2. BoT kuweka utaratihu mzuri ambao taasisi za fedha kama CRDB na NMB zimeshusha riba ya mikopo ya kilimo, 3. Masoko nje kama China yamefunguka. 4. Bajeti ya kilimo, umwagiliaji safi. Changamoto ni climate ikija kukaa sawa tutaona impact ya kinachofanyika sasa#Wakulima wanayo haki ya kuonyesha hisia zao za kuridhishwa. Tuheshimu uhuru wao.🙏🙏🙏
mageuz makubwa kwa wajinga wa lumumba
 
1669300704854.png
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
Hongereni Sana wakulima wa bukoba kwa kunga mkono harakati za mama,ila nasi tunaombi Kama kunawezekana fungua mikutano ya hadharani tuweze kukuonyesha tunakunga mkono.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
Hii nchi hii Dah nimepoteza
 
Nchi hizi za kiafrika hatufiki kokote
Kila mtu mnafiki, imagine mtu anatoka nyumbani kwenda kuandamana kupongeza jambo ambalo halipo wala halijawahi kuwepo

Alaf yote hayo yanafanywa kujibu mkosoaji mmoja wa Serikali
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
Saaa hii michezo ya kizamani ndo mnalileta karne hii. Yani Chalamila!! 😂😂😂
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
Hakuna Mhaya mjinga kiasi hicho,huyu Charamila kaenda kwenye mialo kaokota wanika dagaa na kuwapa alfu 5000 wajifanye wakalima.Mkulima gani wa Kagera hana matatizo?Watu wamelima kahawa unalazimishwa kupeleka kwenye chama cha ushirika na kununua kwa bei ndogo, wakati kuna watu kutoka Uganda wanatoa bei mzuri,watu wamelima vanilla,watu wanawatapeli selikali inaona,ndizi zinaozea mashambani amna soko,eti leo wakulima wa Kagera wameandamana,hakuna Mhaya mjinga kiasi hicho.
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom