Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,219
Lakini mkuu, hivi hujasikia bajeti ya kilimo iligyoongezwa mwaka huu?, Ofisa ugani wote wamepewa usafiri just kama enzi za mwalimu,, tuwage na shukrani japo kiduchu jamani,, roho mbaya haijengi😁Haaaa haaaa waandamanaji wapo karne ya 10 hawajui kama wanatumika.