Kinyungu
Platinum Member
- Apr 6, 2008
- 21,629
- 43,013
Makundi ya Waislam wa jamii ya Fulani wanaendelea kuua kwa kuwachinja Wakristu huko Nigeria safari hii Wakristu 52 wamechinjwa huko katika jimbo la Plateau katika eneo la Bokkos.
Eneo hili ni lile lile ambalo Wakristu 300 waliuawa na Waislam mwaka 2023.
View: https://x.com/visegrad24/status/1908796510277689685?t=N9jdUjrU4bXSqUECebjrbQ&s=08
Eneo hili ni lile lile ambalo Wakristu 300 waliuawa na Waislam mwaka 2023.
View: https://x.com/visegrad24/status/1908796510277689685?t=N9jdUjrU4bXSqUECebjrbQ&s=08