Wakristu waendelea kuchinjwa huko Nigeria

Wakristu waendelea kuchinjwa huko Nigeria

Makundi ya Waislam wa jamii ya Fulani wanaendelea kuua kwa kuwachinja Wakristu huko Nigeria safari hii Wakristu 52 wamechinjwa huko katika jimbo la Plateau katika eneo la Bokkos.

Eneo hili ni lile lile ambalo Wakristu 300 waliuawa na Waislam mwaka 2023.
Hakuna serikali huko?
 
Muislamu hawezi kuua mtu wa dini nyengine. Kuwa dini nyengine sio sababu ya kuua. Hao watakuwa na mambo yao ya kisiasa au visasi vyao msiingize mambo ya dini.
Ukitaka kuujua uislamu wewe soma Quran wewe mwenyewe utaona kwa macho yako Allah anachosema usisikilize maneno ya watu. Ukikuta kuna aya inasema wasiokuwa waislamu wauliwe basi ilete hapa hiyo aya. Kamwe huwezi kuikuta. Wanaoouliwa ni wale wenye kuua au vitani lakini otherwise hairuhusiwi kuua
Uislamu ni dini njema sana basi inapakwa matope tu.
Ipakwe matope nanan mbona haijawai kutokea wasabato wakatumika kuua, kwanin itumike dini yenu tu aya zakuuana zipo sana hao kabla yakuua lazima wametamka takbiiiil nasio bwana yesu asifiwe
 
Muislamu hawezi kuua mtu wa dini nyengine. Kuwa dini nyengine sio sababu ya kuua. Hao watakuwa na mambo yao ya kisiasa au visasi vyao msiingize mambo ya dini.
Ukitaka kuujua uislamu wewe soma Quran wewe mwenyewe utaona kwa macho yako Allah anachosema usisikilize maneno ya watu. Ukikuta kuna aya inasema wasiokuwa waislamu wauliwe basi ilete hapa hiyo aya. Kamwe huwezi kuikuta. Wanaoouliwa ni wale wenye kuua au vitani lakini otherwise hairuhusiwi kuua
Uislamu ni dini njema sana basi inapakwa matope tu.

[ AT-TAWBA - 29 ]
Piganeni na
1: wasio muamini Mwenyezi Mungu
2: wala Siku ya Mwisho,
3: wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume,
4: wala hawashiki Dini ya Haki,
5: miongoni mwa walio pewa Kitabu,
6: mpaka watoe kodi kwa khiari yao,
7: hali wamet'ii.

Hapo mla Nguruwe atapona kweli akidakwa na itikadi kali?
No. 3
 
Ahh hapana wapo waislamu wengi wamepotoka na wala hawafuati mafundisho ya dini yetu. Na hii ni kwa wote dini zote sio wote wazuri. Lakini sasa nyinyi mnatuunganisha waislamu kama vile dini yetu ndio inafundisha hayo. Ndio mana nimekwambieni someni Quran muone wenyewe kwa macho yenu. Hapo ukifuatilia hayo mauaji utakuta ni mambo ya kisiasa au uchumi it has nothing to do with thier religion
Bwana Nigeria kaskazini kuna upuuzi mwingi sana unaohusiana na dini ya kiislamu. Weka kando kabsa mambo ya siasa na uchumi....kule hata ukionekana unakula mwezi wa Ramadhan unauwawa....! Hayo maupumbavu yanayofanywa na Taleban kuna wapuuzi huko Nigeria na ukanda wa Sahel Mali na Niger wanataka waya apply huku Africa
 
Quran 2:191

QURAN 2: 190-193

190.Na piganeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanao kupigeni, wala msianze uadui. Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi waanzao uadui.

191. Na wauweni popote muwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.

192. Lakini wakiacha basi Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.

193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Mwenyezi Mungu tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu.
.............................................................................

Haya hebu nionyeshe hiyo sehemu inayosema muuwe wakristo na mayahudi. Umeona hata aibu kuiweka hiyo aya hapo. Nyie mnaosema usilamu umeamrisha kuuwa makafiri haya aya hizo hapo. Hakuna kuua au kuanzisha vita isipokuwa kama wao wakianzisha. Na kama wakiacha kuwapiga waislamu Mwenyezi Mungu kasema na waislamu waache wasiendeleze uadui.

 
Back
Top Bottom