sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Ni baraka kuzaliwa Tanzania, Kuna nchi hata kusherekea christmas ni taabu.
Kikundi cha waislam wenye itikadi kali kimeua wakristo zaidi ya 100 katika vijiji kadhaa vya mkoa wa Plateau nchini Nigeria
Mashambulizi yalifanyika kwenye vijiji 20 vya wakristo usiku wa manane kwa kuzichoma nyumba huku watu wakiwa wamelala, kulipozuka tafrani waliotoka waliuawa na waliobaki ndani waliungua kwa moto
May their souls rest in peace
source: At least 160 dead and 300 wounded after attacks by armed gangs in Nigeria
Kikundi cha waislam wenye itikadi kali kimeua wakristo zaidi ya 100 katika vijiji kadhaa vya mkoa wa Plateau nchini Nigeria
Mashambulizi yalifanyika kwenye vijiji 20 vya wakristo usiku wa manane kwa kuzichoma nyumba huku watu wakiwa wamelala, kulipozuka tafrani waliotoka waliuawa na waliobaki ndani waliungua kwa moto
May their souls rest in peace
source: At least 160 dead and 300 wounded after attacks by armed gangs in Nigeria