Wakristo zaidi ya 100 wauawa kwenye vijiji vya mkoa wa Plateau nchini Nigeria kwa kusherekea christmas

Yes waliouliwa ni dini tofauti na wale walioua. Ni kama kipindi kile cha vita ya wakulima na wafugaji sababu ya vita ni ardhi, huwezi kusema direct kua wakulima waliuawa sababu ya kua wao ni jamii ya wakulima. Motive ya mauaji ni ardhi ambayo it happens kukaliwa na wakulima.
Hawa wakristo huwa wanapenda story za uwongo ikiwa Yesu wanamzulia ni Mungu wakati hizo hizo bibilia anawambia hakuna binadamu kawahi muona Mungu akaishi? Si bora hata wayahudi wao wanamgojea yule Masseh Dijal hawajamuona bado 😄 wakija muona anajicho moja katikati ndio watamini kweli yule ni Mungu sababu kutakuwa na njaa ukitaka chakula anakupa chakula ili upate kumuabudu 😄 We huoni Waisrael wanavyo wafungia chakula watu wa Gaza ndio hizo style za huyo mungu wao mtarajiwa.

Waislam peke ndio Mungu wanamfahamu Mungu wa kweli, alie umba kila kitu na asiye fananishwa wala kuzaa au kuzaliwa alikuwepo kabla ya kila kitu na ataendelea kuwepo bada ya kila kitu ndio atakaye tuhuku kwa mazuri na mabaya siku za hesabu.
 
Wafe kwa kufakamia mi[pombe mseme wameuliwa na Waislam.

Si ndiyo zenu hizo? Wala sikushangai. Pambana na Alshabab huko, vipi nasikia wamechukuwa nchi wanaongoza wao. Wamarekani sasa wanaanza kukosa pesa za kuwalipa wakenya, mtajiondowa sasa hivi huko au mtakuwa kitoweo cha fisi wa Somalia.

Unajuwa idadi ya vifo Tanzania Kuanzia Tarehe 20 December mpaka Tarehe 2 January inayosababishwa na kufakamia mipombe huwa kubwa kuliko hiyo?

kaulize mochwari ya jirani yako tu, upewe figures.

Tena mwaka huu vifo vimezidi mpaka watu wameanza kujitetea eti pombe feki nyingi. Iwe au isiwe feki, pombe ni pombe tu.
Hili limama hovyo kabisa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Wakatoliki dini gani na wananywea pombe sehem gani
Ishu kwanza hapa kunywea pombe eneo eti la kuabudu
Pia nashukuru kwa kunieka sawa hapa kama kuna wengine wanaamini ulevi haramu sio ila wakatoliki kwao kama soda?
Kwanza unapaswa kujua wakatoliki sio wakristo kwa sababu misingi, miongozo na itikadi zao zinapishana kabisa na Ukristo, alafu wanakunywa pombe kwa sababu kitabu Chao kina waruhusu kunywa
 
Hawa wakristo huwa wanapenda story za uwongo ikiwa Yesu wanamzulia ni Mungu wakati hizo hizo bibilia anawambia hakuna binadamu kawahi muona Mungu akaishi? Si bora hata wayahudi wao wanamgojea yule Masseh Dijal hawajamuona bado wakija muona anajicho moja katikati ndio watamini kweli yule ni Mungu sababu kutakuwa na njaa ukitaka chakula anakupa chakula ili upate kumuabudu We huoni Waisrael wanavyo wafungia chakula watu wa Gaza ndio hizo style za huyo mungu wao mtarajiwa.

Waislam peke ndio Mungu wanamfahamu Mungu wa kweli, alie umba kila kitu na asiye fananishwa wala kuzaa au kuzaliwa alikuwepo kabla ya kila kitu na ataendelea kuwepo bada ya kila kitu ndio atakaye tuhuku kwa mazuri na mabaya siku za hesabu.

Huyo mungu ndio kawapa ruhusa kuua wasio amini mungu wenu?uisalamu kuna kitu unakitafuta duniani na si mbali sana kitatokea.
 
Hawa wakristo huwa wanapenda story za uwongo ikiwa Yesu wanamzulia ni Mungu wakati hizo hizo bibilia anawambia hakuna binadamu kawahi muona Mungu akaishi? Si bora hata wayahudi wao wanamgojea yule Masseh Dijal hawajamuona bado wakija muona anajicho moja katikati ndio watamini kweli yule ni Mungu sababu kutakuwa na njaa ukitaka chakula anakupa chakula ili upate kumuabudu We huoni Waisrael wanavyo wafungia chakula watu wa Gaza ndio hizo style za huyo mungu wao mtarajiwa.

Waislam peke ndio Mungu wanamfahamu Mungu wa kweli, alie umba kila kitu na asiye fananishwa wala kuzaa au kuzaliwa alikuwepo kabla ya kila kitu na ataendelea kuwepo bada ya kila kitu ndio atakaye tuhuku kwa mazuri na mabaya siku za hesabu.
Una ujinga mwingi sana. Ibada na za waatu wengine zinakuhusu nini ?!. Kuna jamii zingine zinaabudu Ng'ombe, Majoka, Milima, Jua nk. Sembuse na waKristo kuabudu wanachokijua na kukiamini. Imani yao, ulevi wao na Ibada zaozi zinakuhusu nini kwenye pepo zako na utakatifu wako machoni pa Mungu ?!

Hii Imani ni ya kishenzi na ya kishetani ya kuua watu wasiowahusu.
 
Uzushi
Ukiona muislam anaua mtu eti kisa tofauti ya dini ujue hana analojua kuhusiana na uislam hata robo
Uislam uko wazi kabisa linapokuja suala la kumuua mtu
Ukiona mtu anaua watu eti kisa imani tofauti huyu anatakiwanapigwe msasa kuhusiana na uislam sababu hajui lolote kuhusiana na dini ya uislamu
Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛

HAKUNA CHA DINI HAPO 😲😲😲
 
Hii dini yaani shetani kaitia kwapani.
Dini ya shida sana, mauaji kila mahali.
 
Hawataki shere za kishetani huko, maana hizo siyo sherehe ni shere. Sherehe gani ya kidini watu wanalewa mchana kutwa usiku kucha?.

View attachment 2855198
Unajua wewe dada unasikitisha na unakwaza sana sijui kama unalitambua hilo. Hivi kuna kosa gani mtu akiamua kusheherekea sikukuu yake? Hivi ni lazima duniani kote tuwe waislamu? Je mnalazimisha watu kuingia uislam kwa nini? Huoni kama hizi comments zako zinaibua chuki dhidi ya Uislamu? Yaani kwako wewe uhai wa mtu ambaye sio muislam hauna maana kabisa? Toka moyoni sister ebu badilika bwana. Nawe ni Binadamu na infant humu duniani wote tunapita. Nawe aiku 1 utakufa kama sio kwa Ugonjwa basi kwa ajali au siku zako zikofika. Dini isikutoe ufahamu kihivyo.
 
Hawa dawa yao ni kuwapelekea moto tu, suala la kuwaonea huruma ndio linafanya wanazidi kuwapanda kichwani

Na Mungu anajua ndio maana enzi za Daudi ilikuwa adui akizingua ni upanga tu
 
Ningekuwa nawe karibu ningekuchinja mchana kweupe mjinga sana
Jatutakiwi kufikia huko japo huyu sister ana makwqzo sana. Hajawahi thamini utu wa mtu yoyote asiye muislam. Ningekuwa Mod hii ID yake ningeipuga ban na kuifungia kabisa JF. Binadamu gani anayeshangilia mauti ya mtu asiye muislam. Yaani kwake mtu asiye muislam ni sawa na mavi tu. Sasa anataka dunia nzima tuwe waislamu yeye itamfaidia nini?
 
Unajua wewe dada unasikitisha na unakwaza sana sijui kama unalitambua hilo. Hivi kuna kosa gani mtu akiamua kusheherekea sikukuu yake? Hivi ni lazima duniani kote tuwe waislamu? Je mnalazimisha watu kuingia uislam kwa nini? Huoni kama hizi comments zako zinaibua chuki dhidi ya Uislamu? Yaani kwako wewe uhai wa mtu ambaye sio muislam hauna maana kabisa? Toka moyoni sister ebu badilika bwana. Nawe ni Binadamu na infant humu duniani wote tunapita. Nawe aiku 1 utakufa kama sio kwa Ugonjwa basi kwa ajali au siku zako zikofika. Dini isikutoe ufahamu kihivyo.
Maiti siku hizi zinadandia pickup, duh! Si ndiyo hizo kwenye picha post namba moja?

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Wewe ni mjinga sababu Qur'an haikushushwa kwa siku moja kama unavyo dhania wewe, na wajinga wenzako hizo Aya zilishuka kulikuwa reason flani wakati ule wa vita, sio amri kama unavyo dhania wewe, the above verse does not convey the general command of Islam. The truth of the matter is that the Qur'an was not revealed in the complete form in which it exists today.

It was revealed from time to time, according to the circumstances, sa kama ilikuwa inakusudia vile unavyo elewa wewe na wenginewe, basi ungeona Waislam kila kukicha wakiona Wakristo wanawaua tu, ndio mana waswahili walisema usikimbilie kukosoa kitu kabla hujakichunguza vizuri 😄
We naye hulijui Quran. Quran ni neno la Allah. Na neno la Allah halikuumbwa bali limekuwepo Kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu. Ni neno la milele la Mungu "eternal speech of God"
kwahyo Kila lililopo kwenye Quran inatupaswa kulifata bila maswali wala kuuliza uliza.
 
Jatutakiwi kufikia huko japo huyu sister ana makwqzo sana. Hajawahi thamini utu wa mtu yoyote asiye muislam. Ningekuwa Mod hii ID yake ningeipuga ban na kuifungia kabisa JF. Binadamu gani anayeshangilia mauti ya mtu asiye muislam. Yaani kwake mtu asiye muislam ni sawa na mavi tu. Sasa anataka dunia nzima tuwe waislamu yeye itamfaidia nini?
Bin Adam huwezi kukamilika pasi kuwa muislam.

Kama Adam mwenyewe alikuwa Muislam, Wewe mwenye ubin wake kwanini usiwe?
 
AlhamduliLlah nilijaaliwa kuwa Muislam, ukiwa Muislam huwi mjinga mjinga wa kumezeshwa kila uongo.

Nnaziona maiti zilizouliwa hapo zimedandia pickup au siyo?
Sasa kwanini ufurahie kuuawa kwa mtu asiye muislamu? Twende taratibu na kwa heshima na hekima. Hivi kwanini sister huwa unafirahia kuuawa kwa mtu asiye muislamu? Naomba nijifunze kwako leo dada yangu.
 
Back
Top Bottom