Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 4,549
- 4,126
Hawa wakristo huwa wanapenda story za uwongo ikiwa Yesu wanamzulia ni Mungu wakati hizo hizo bibilia anawambia hakuna binadamu kawahi muona Mungu akaishi? Si bora hata wayahudi wao wanamgojea yule Masseh Dijal hawajamuona bado 😄 wakija muona anajicho moja katikati ndio watamini kweli yule ni Mungu sababu kutakuwa na njaa ukitaka chakula anakupa chakula ili upate kumuabudu 😄 We huoni Waisrael wanavyo wafungia chakula watu wa Gaza ndio hizo style za huyo mungu wao mtarajiwa.Yes waliouliwa ni dini tofauti na wale walioua. Ni kama kipindi kile cha vita ya wakulima na wafugaji sababu ya vita ni ardhi, huwezi kusema direct kua wakulima waliuawa sababu ya kua wao ni jamii ya wakulima. Motive ya mauaji ni ardhi ambayo it happens kukaliwa na wakulima.
Waislam peke ndio Mungu wanamfahamu Mungu wa kweli, alie umba kila kitu na asiye fananishwa wala kuzaa au kuzaliwa alikuwepo kabla ya kila kitu na ataendelea kuwepo bada ya kila kitu ndio atakaye tuhuku kwa mazuri na mabaya siku za hesabu.