King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,419
- 88,753
"Dawa ya wasaliti inajulikana najua wanajeshi wanajua,hauwezi kuwa msaliti halafu ukasurvive"
Pole sana naona dawa imeingia.H. Polepole alishakwambia 2020 katafute kazi ya kufanya, labda Ridhwani Kikwete au Mangi Kimambi watakupa kazi lkn Bunge letu sahau, haurudi!
2025-2025 say no Mafisadi, no Usaliti!
Zito Kabwe, Tundu Lisu &Co. Out!
Yeye ana lugha ya staha?!Kukosoa sio tatizo, Kama unakosoa Kwa staha na kuleta way forward, sio majungu na kupakaziana
maana ya mkosoaji ni nini? wanalitumia vyema hili jina sivyo?Ukiona mtu kila siku yeye ni kukosoa tu ujue huyo ni adui wa maendeleo.
Wapinzani wanatakiwa kuwa washirika wa maendeleo sio maadui. Hawatakiwa kukosoa tu kila kitu. Wanatakiwa kukosoa kwa malengo ya kuboresha.
inaharibiwa na wanaowapa tenda na kuwafukuza huku wanajua wakifanya hivyo nini kinatokea, wanawachagua wasio weza kazi ili wachote mabilioni then wakivurunda wanawafukuza, ngoja tuone vitambulisho vya taifa na e passportNiko hapa kusimamia ukweli tu kwa manufaa ya wanyonge...vibaraka wa wazungu wametumia suasa kutuharibia nchi kwa muda mrefu sana
. Wanatakiwa kukosoa kwa malengo ya kuboresha.
Pia ukiona mtu anashangilia kila akifanyacho magu kama wale lumumbabuku7, huyo ni adui zaidi wa maendeleo!Ukiona mtu kila siku yeye ni kukosoa tu ujue huyo ni adui wa maendeleo.
Wapinzani wanatakiwa kuwa washirika wa maendeleo sio maadui. Hawatakiwa kukosoa tu kila kitu. Wanatakiwa kukosoa kwa malengo ya kuboresha.
Kauli zingine zinapotray weak reasoning ya watz..hivi hadi washamba wachukue nchi wanaojiita wajanja walikuwa wapi, km ulilala hali ikawa hivyo unalalama nini sasa?? na hao wajanja waliokuwepo kabla walileta nini kwa nchi kama cyo kujenga spirit ya uvivu, wizi na short cuts nyingi za uhalifu..kasome historia ya nchi yetu kabla ya uhuru, itakusaidia wapi walikuwa na viongozi hodari na shupavu kulinda watu wao, uongozi sio ujanja kijana na siyo lazima kufanya watu wafurahi!Malaika hapendi kukosolewa na ukimkosoa adhabu yake kutumiwa watu wasiojulikana.
Ngoja niendelee kukazia kauli yako ''Tumekabidhi nchi kwa washamba na malimbukeni-ZZK"
Unapoishangaa Iringa kutomchagua Dr Mahiga,wengine tunashangaa CCM kumuacha Mahiga kwenye UraisKauli zingine zinapotray weak reasoning ya watz..hivi hadi washamba wachukue nchi wanaojiita wajanja walikuwa wapi, km ulilala hali ikawa hivyo unalalama nini sasa?? na hao wajanja waliokuwepo kabla walileta nini kwa nchi kama cyo kujenga spirit ya uvivu, wizi na short cuts nyingi za uhalifu..kasome historia ya nchi yetu kabla ya uhuru, itakusaidia wapi walikuwa na viongozi hodari na shupavu kulinda watu wao, uongozi sio ujanja kijana na siyo lazima kufanya watu wafurahi!