mabuba
Senior Member
- Dec 5, 2006
- 133
- 90
Wakosoaji wa JPM wamegawanyika katika makundi yafuatayo:
1. Wale ambao ufisadi ulikuwa sehemu ya maisha yao, sasa wanaona mirija inakatwa, na wanakaribia kutumbuliwa au wametumbuliwa.
2. Wale ambao walifanya kazi kwa mazoea, bila posho kazi haziendi.
3. Wale ambao walitamani sana JPM asifanye haya anayoyafanya ili wao wapate namna ya kuongea. Kundi hili liliishi kwa kusema matatizo ya serikali, sasa yanatatuliwa limeanza kupinga utatuzi wake.
4. Wale ambao, ni bendera fuata upepo, hawa hawajui wanachopinga, bali huwafata watu wanaopinga.
5. Wale ambao ni makuhadi wa soko huria na wapiga zumari wa pepo za mabwege, hawa ndio wanakuja na dhana ya kibaraguzi ya kuwa JPM ni dikteta hafuati utawala bora.
Mwalimu Nyerere alisema katika kuleta maendeleo wapo watakao pinga maendeleo hayo, lakini sisi tutasonga mbele.
Songa mbele JPM, watanzania walio wengi wako pamoja na wewe, hata ambao hawakukupigia kura wengi sasa wako na wewe.
HAYA NDIO MABADILIKO YA KWELI.
Ni mimi Mwanamtaa
1. Wale ambao ufisadi ulikuwa sehemu ya maisha yao, sasa wanaona mirija inakatwa, na wanakaribia kutumbuliwa au wametumbuliwa.
2. Wale ambao walifanya kazi kwa mazoea, bila posho kazi haziendi.
3. Wale ambao walitamani sana JPM asifanye haya anayoyafanya ili wao wapate namna ya kuongea. Kundi hili liliishi kwa kusema matatizo ya serikali, sasa yanatatuliwa limeanza kupinga utatuzi wake.
4. Wale ambao, ni bendera fuata upepo, hawa hawajui wanachopinga, bali huwafata watu wanaopinga.
5. Wale ambao ni makuhadi wa soko huria na wapiga zumari wa pepo za mabwege, hawa ndio wanakuja na dhana ya kibaraguzi ya kuwa JPM ni dikteta hafuati utawala bora.
Mwalimu Nyerere alisema katika kuleta maendeleo wapo watakao pinga maendeleo hayo, lakini sisi tutasonga mbele.
Songa mbele JPM, watanzania walio wengi wako pamoja na wewe, hata ambao hawakukupigia kura wengi sasa wako na wewe.
HAYA NDIO MABADILIKO YA KWELI.
Ni mimi Mwanamtaa