Wakosoaji wa barua ya kiingereza ya Nape wao kiingereza ndio hawajui kabisa

Wakijimilikisha bandari milele wewe binafsi unapungukiwa kitu gani mwilini mwako au kwenye maisha yako?

Uwepo wa bandari umewahi kukufanya uwe kama Bakhresa au Mo Dewji?

Wahindi walipokonywa umiliki wa majengo kule Posta na upanga ,Je baada ya wao kupokonywa na kukabidhiwa wadhawa wahindi wamekuwa maskini?

Ukiambiwa ukomo wa bandari miaka 90,Utakuwepo wewe ?Chukua miaka 90 jumlisha na umri wako ,Utakuwepo?

Ukomo wa vitalu vya madini ni kati ya miaka 20 mpaka 50,Je tangu waanze kuchimba ukomo umekupa faida gani binafsi kwenye madini?

Achana na hoja za wanasiasa hao wanatafuta political mileage,Usipokuwa makini watakuburuza kila siku wanasias,

Hushangai wale wabunge 19 wanajua katiba lakini hawataki kutoka bungeni ,Watu wapo kimaslahi
Kama akili ndio hizi, safari bado ndefu sana.
 
Hiyo barua haina shida. Bongo watu wanakomaa na vitu vya kipumbavu mno. Lugha ni nyenzo ya mawasiliano, kama umeelewa ujumbe wa hiyo barua inatosha kabisa, hayo mengini ni mbwembwe za kijinga tu.
...Hizo unazoita ' Mbwembwe za Kijinga' zinatoka na Makosa ya Watu wanaotakiwa Kuwa Makini na Wakiandikacho, Mkuu.

Haiwezekani Mheshimiwa wako aandike 'USEMI ?' Badala ya ' HUSEMI ?' na Ujifariji Kwa kusema 'mradi tumeelewa', badala ya kumrekebisha ! Hujengi, Unabomoa !
 
Hiyo barua haina shida. Bongo watu wanakomaa na vitu vya kipumbavu mno. Lugha ni nyenzo ya mawasiliano, kama umeelewa ujumbe wa hiyo barua inatosha kabisa, hayo mengini ni mbwembwe za kijinga tu.
Sidhani kama barua ya serikali inatakiwa iwe hivyo sababu kabla ya Saini inabidi ipitiwe na mikono na macho mengi...
 
Hao wanaopiga kelele wanapigana na adui wasiyemfahamu vizuri. Na hilo ni kosa kubwa sana

Usianzishe vurugu na fujo bila kumjua unayepigana nae ni nani na yupo wapi na ana silaha za aina gani?

Nilisikia kuna watu wanapigania Katiba. Nilicheka sana. Katiba haipiganiwi bali inajipigania yenyewe

Ukisikia mtu anasema anawapigania watanzania yakupasa umcheke sana na sana. Watanzania hawapiganiwi, Watanzania watajipigania wenyewe pale kila mtu atakapoona kuna umuhimu atapigana wala hata hitaji mtu wa kumpigania

Ndio maana ukiitisha mgomo watanzania wanakuangalia tu kwani hawajakutuma ukawapiganie na wala muda wao wa kupigana wenyewe haujafika na hawaoni sababu ya kupigana

Juzi nilishangaa kuna mtu anasema anatupigania sisi wakinga pale Kariakoo. Nilicheka sana na nikajiuliza hivi huyu mtu ndie alietuleta sisi kariakoo na kabla ya kuwa kariakoo ni nani aliyetupigania kule milimani kwetu Makete, kwa ufupi tulijipigania wenyewe pale muda ulipofika na kuwa pale kariakoo

Hao wanaopigania mkataba ufutwe, Mkataba utajipigania wenyewe
Hata kazini mkeo akiwa anachepuka muache ataacha mwenyewe
 
Ministry of information and communication technology na ministry of information,communication and information technology ipi imekaa smart.
 
Umechanganya mambo
Kazi ya Bunge sio hiyo,Kazi za Bunge letu zipo wazi na tuna mihimili mitatu

Mambo ya Afya,Barabara,Maji ni kazi za serikali

Wabunge wapo pale kutunga sheria ili kuwezesha serikali kufanya kazi na kuisimamia serikali

Sasa unaweza vipi kuwapigania watu wasiotaka kupiganiwa na unawapigani kwa lipi?

Kuna serikali za mitaa,Wakuu wa wilaya,Wakuu wa mikoa,Mamlaka za maji,Mamlaka za umeme ,Mamlaka za barabara kila mkoa na wilaya na wana vikao na wanayafahamu maeneo yao na mafungu wametengewa ya kazi
Na vile vikao vya budget huwaga wanajadili nini
 
Hatari sana 😂😂 halafu ni wizara ya habari na mawasiliano lakini kiingereza chenyewe sasa ni kile elementary kabisa.
Tatizo sio kukosewa inaonyesha watu ni wavivu kupita maelezo inaamana hawakuisoma kabisa

Watanzania ni wavivu sana
 
Unaipindua serikali kwani uliiweka wewe madarakani?Na una ushahidi uliiweka wewe?

Mtu hukupiga kura na hukushiriki uchaguzi na tulikuona hadharani unasema uchaguzi haukuwa huru na haki halafu leo unasema unaipindua serikali,Serikali ipi wanaizungumzia hao?

Hao wanajikanganya sana Mara wanapigania katiba wakati huo huo wanaamini kwenye sheria za katiba ile ile wasiyoitaka

Muulize Mwabukusi ukishindwa mahakamani ,sheria inakuhitaji ukafanye vurugu na fujo

Muulize Mwabukusi alikuwa anaongelea serikali ipi?isije ikawa anaongelea serikali ya mtaani kwake
Ushoga umezidi jamii forum.ok kama haukuwa huru rais anakuwa halali?
 
Wakijimilikisha bandari milele wewe binafsi unapungukiwa kitu gani mwilini mwako au kwenye maisha yako?

Uwepo wa bandari umewahi kukufanya uwe kama Bakhresa au Mo Dewji?

Wahindi walipokonywa umiliki wa majengo kule Posta na upanga ,Je baada ya wao kupokonywa na kukabidhiwa wadhawa wahindi wamekuwa maskini?

Ukiambiwa ukomo wa bandari miaka 90,Utakuwepo wewe ?Chukua miaka 90 jumlisha na umri wako ,Utakuwepo?

Ukomo wa vitalu vya madini ni kati ya miaka 20 mpaka 50,Je tangu waanze kuchimba ukomo umekupa faida gani binafsi kwenye madini?

Achana na hoja za wanasiasa hao wanatafuta political mileage,Usipokuwa makini watakuburuza kila siku wanasias,

Hushangai wale wabunge 19 wanajua katiba lakini hawataki kutoka bungeni ,Watu wapo kimaslahi
Huna akili wewe!
 
Niseme tu nimesoma tamko la mheshi,kiingereza hakina shida sana ila kinaonyesha kimepakwa Sana mafuta,Kifupi sio Yai tunalolitegemea Kwa mtu profile ya Nape,ambaye kakulia juu ya ndege.Kifupi tamko limekaa kama essay nliyoandika form 4
 
Kuna vitu unaviandika kwa hoja nyepesi lakini mimi naamini ndiyo babu zetu wakina Mangungo walikua wakizitumia katika kuingia mikataba na wajerumani.

Anaona huu mkataba ni wa miaka 999 kisha anaona haina shida mimi sitakuepo haina haja ya kuupinga.

Kuna usemi mmoja unasema hivi "Tukipata watu wakapanda miti na wanajua hawatakuja kukaa chini ya kivuli chake basi jamii yetu itakua imefikia lengo" kwa hoja zako upo radhi kuwaachia msala kizazi kijacho simply kwakua hautakuepo.

Inatia kinyaa hii hoja.
Namjua in personal dogo anatoa takowo hawezi waza wajukuu
 
Back
Top Bottom