Wakosoaji wa barua ya kiingereza ya Nape wao kiingereza ndio hawajui kabisa

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Hii nchi kuna vituko na vichekesho sana. Fikiria mtu amechukua barua ya wizara ya habari na kuzungushia vitu anavyoita ni makosa wakati sio makosa bali yeye ndio haelewi lugha ya kiingereza

Je watu wa aina hii hata mkataba wa Serikali ya Tanzania na Dubai wana uelewa nao. Maana hili ndio kundi linalosema mkataba una makosa wakati lugha ya kiingereza hawana uelewa nayo kabisa

Mfano amezungushia neno "INFORMATION" kuwa lina makosa kwa mawazo yake alitaka liandikwe Infomatiom

Lazima watu watambue maneno ya kiingereza yanavyotamkwa siyo ndivyo yanavyoandikwa

Lazima watu watambue hakuna tafsiri ya moja kwa moja toka kiswahili kwenda kiingereza kutokana na kiswahili kukosa misamiati ya kutosha

Mfano" See you tomorrow " kwa kiswahili kila mtu ataandika la kwake hapa JF


Watu wa staili hii hapa JF hawatufai kabisa. Wanapotosha mambo mengi sana hasa yanayoandikwa kwa lugha wasiyoifahamu

20230818_015106.jpg
 
Dah!Kwa hiyo imekaa poa tu tuendelee kuitunza kwenye jalada la Diipiiw3ld?Maana uhaini umekuwa mwingi zama hizi!
Hao wanaopiga kelele wanapigana na adui wasiyemfahamu vizuri. Na hilo ni kosa kubwa sana

Usianzishe vurugu na fujo bila kumjua unayepigana nae ni nani na yupo wapi na ana silaha za aina gani?

Nilisikia kuna watu wanapigania Katiba. Nilicheka sana. Katiba haipiganiwi bali inajipigania yenyewe

Ukisikia mtu anasema anawapigania watanzania yakupasa umcheke sana na sana. Watanzania hawapiganiwi, Watanzania watajipigania wenyewe pale kila mtu atakapoona kuna umuhimu atapigana wala hata hitaji mtu wa kumpigania

Ndio maana ukiitisha mgomo watanzania wanakuangalia tu kwani hawajakutuma ukawapiganie na wala muda wao wa kupigana wenyewe haujafika na hawaoni sababu ya kupigana

Juzi nilishangaa kuna mtu anasema anatupigania sisi wakinga pale Kariakoo. Nilicheka sana na nikajiuliza hivi huyu mtu ndie alietuleta sisi kariakoo na kabla ya kuwa kariakoo ni nani aliyetupigania kule milimani kwetu Makete, kwa ufupi tulijipigania wenyewe pale muda ulipofika na kuwa pale kariakoo

Hao wanaopigania mkataba ufutwe, Mkataba utajipigania wenyewe
 
Hii nchi kuna vituko na vichekesho sana,Fikiria mtu amechukua barua ya wizara ya habari na kuzungushia vitu anavyoita ni makosa wakati sio makosa bali yeye ndio haelewi lugha ya kiingereza

Je watu wa aina hii hata mkataba wa Serikali ya Tanzania na Dubai wana uelewa nao ,Maana hili ndio kundi linalosema mkataba una makosa wakati lugha ya kiingereza hawana uelewa nayo kabisa

Mfano amezungushia neno "INFORMATION" kuwa lina makosa kwa mawazo yake alitaka liandikwe Infomatiom

Lazima watu watambue maneno ya kiingereza yanavyotamkwa siyo ndivyo yanavyoandikwa

Lazima watu watambue hakuna tafsiri ya moja kwa moja toka kiswahili kwenda kiingereza kutokana na kiswahili kukosa misamiati ya kutosha

Mfano" See you tomorrow " kwa kiswahili kila mtu ataandika la kwake hapa JF


Watu wa staili hii hapa JF hawatufai kabisa,Wanapotosha mambo mengi sana hasa yanayoandikwa kwa lugha wasiyoifahamu

View attachment 2720399
Tuna safari ndefu sana,mimi nikadhani kuwa unakuja kukanusha kuwa barua hiyo siyo rasimi.

Lkn mpaka kutokuwepo kipindi cha muda gani hao jamaa watajimilikisha bandari zetu kwako ni poa tu?
 
Tuna safari ndefu sana,mimi nikadhani kuwa unakuja kukanusha kuwa barua hiyo siyo rasimi.

Lkn mpaka kutokuwepo kipindi cha muda gani hao jamaa watajimilikisha bandari zetu kwako ni poa tu?
Wakijimilikisha bandari milele wewe binafsi unapungukiwa kitu gani mwilini mwako au kwenye maisha yako?

Uwepo wa bandari umewahi kukufanya uwe kama Bakhresa au Mo Dewji?

Wahindi walipokonywa umiliki wa majengo kule Posta na upanga ,Je baada ya wao kupokonywa na kukabidhiwa wadhawa wahindi wamekuwa maskini?

Ukiambiwa ukomo wa bandari miaka 90,Utakuwepo wewe ?Chukua miaka 90 jumlisha na umri wako ,Utakuwepo?

Ukomo wa vitalu vya madini ni kati ya miaka 20 mpaka 50,Je tangu waanze kuchimba ukomo umekupa faida gani binafsi kwenye madini?

Achana na hoja za wanasiasa hao wanatafuta political mileage,Usipokuwa makini watakuburuza kila siku wanasias,

Hushangai wale wabunge 19 wanajua katiba lakini hawataki kutoka bungeni ,Watu wapo kimaslahi
 
Hiyo barua haina shida. Bongo watu wanakomaa na vitu vya kipumbavu mno. Lugha ni nyenzo ya mawasiliano, kama umeelewa ujumbe wa hiyo barua inatosha kabisa, hayo mengini ni mbwembwe za kijinga tu.
Eeebu tuache hajui kiingereza, elimu Tanzania hutolewa kwa kiingereza, kwa hiyo ukiwa hujui na elimu huna
 
Wakijimilikisha bandari milele wewe binafsi unapungukiwa kitu gani mwilini mwako au kwenye maisha yako?

Uwepo wa bandari umewahi kukufanya uwe kama Bakhresa au Mo Dewji?

Wahindi walipokonywa umiliki wa majengo kule Posta na upanga ,Je baada ya wao kupokonywa na kukabidhiwa wadhawa wahindi wamekuwa maskini?

Ukiambiwa ukomo wa bandari miaka 90,Utakuwepo wewe ?Chukua miaka 90 jumlisha na umri wako ,Utakuwepo?

Ukomo wa vitalu vya madini ni kati ya miaka 20 mpaka 50,Je tangu waanze kuchimba ukomo umekupa faida gani binafsi kwenye madini?

Achana na hoja za wanasiasa hao wanatafuta political mileage,Usipokuwa makini watakuburuza kila siku wanasias,

Hushangai wale wabunge 19 wanajua katiba lakini hawataki kutoka bungeni ,Watu wapo kimaslahi
Sikujui sana ila nauhakika huna akili
 
Kwani kupindua serikali ni kinyume cha sheria?
Unaipindua serikali kwani uliiweka wewe madarakani?Na una ushahidi uliiweka wewe?

Mtu hukupiga kura na hukushiriki uchaguzi na tulikuona hadharani unasema uchaguzi haukuwa huru na haki halafu leo unasema unaipindua serikali,Serikali ipi wanaizungumzia hao?

Hao wanajikanganya sana Mara wanapigania katiba wakati huo huo wanaamini kwenye sheria za katiba ile ile wasiyoitaka

Muulize Mwabukusi ukishindwa mahakamani ,sheria inakuhitaji ukafanye vurugu na fujo

Muulize Mwabukusi alikuwa anaongelea serikali ipi?isije ikawa anaongelea serikali ya mtaani kwake
 
Unaipindua serikali kwani uliiweka wewe madarakani?Na una ushahidi uliiweka wewe?

Mtu hukupiga kura na hukushiriki uchaguzi na tulikuona hadharani unasema uchaguzi haukuwa huru na haki halafu leo unasema unaipindua serikali,Serikali ipi wanaizungumzia hao?

Hao wanajikanganya sana Mara wanapigania katiba wakati huo huo wanaamini kwenye sheria za katiba ile ile wasiyoitaka

Muulize Mwabukusi ukishindwa mahakamani ,sheria inakuhitaji ukafanye vurugu na fujo

Muulize Mwabukusi alikuwa anaongelea serikali ipi?isije ikawa anaongelea serikali ya mtaani kwake
Usichanganye mada zungumzia mada moja baada ya nyingine, alafu pangilia hoja zako vizuri sio unakua mropokaji mwisho unaonekana huna akili
 
Waliokosa hoja wengi hukimbilia kutukana na kufoka foka kama wewe ili roho zao zipate furaha na faraja ya moyo

Hii hali wazungu kama yako huita Inferiority Complex

Mara nyingi hupata wazee na vijana wenye stress za maisha
Una matatizo ya akili wahi Milembe 👉🚮
 
Hili jamaa ni bogus n' very useless how come tunakua na watu wa ovyo kiasi hiki na wametapakaa, huyu msenge watu wanailipia kodi Serekali ambayo inajilipa mishahara minono na posho za kwenda Ila wananchi hawana maji anasema eti wajipiganie wenyewe wakachimbe visima wenyewe, hili jamaa lina akili hili how come tunakua na watu viazi kiasi hiki? Eti hakuna anaekupigania ulimchagua mbunge aende kufanya nini sasa kugonga meza na kusema ndio hata kisichotakiwa kusema ndio?
Kwa hiyo ni kazi ya sisi wabunge kuipigania Familia yako kweli?

Mkuu unafahamu kazi za mbunge na Bunge?
Kwa hiyo ukimchagua mbunge unamtuma bungeni akakupiganie Maji na barabara,Akikaa kimya kwa miaka mitano bungeni utaendelea kunywa maji machafu? Kisa mbunge unamlipa mshahara na hajaongea bungeni?

Kwa kuwa unalipa kodi ili mwalimu amfundishe mwanao,kwa hiyo ni kazi ya mwalimu kumlea mwanao kimaadili?

Eeeh hii kali ya mwaka,Mtoto umzae wewe halafu mwalimu akufanyie kazi ya kulea?kisa unamlimpa mshahara du!!!

Charity begins at home,Aanza kujipigania wewe kwanza ndio utawafanya wengine waone mwanga kutoka kwako

Mabadiliko huanza na wewe,Yatupasa sisi tuone toka kwako
 
Unaipindua serikali kwani uliiweka wewe madarakani?Na una ushahidi uliiweka wewe?

Mtu hukupiga kura na hukushiriki uchaguzi na tulikuona hadharani unasema uchaguzi haukuwa huru na haki halafu leo unasema unaipindua serikali,Serikali ipi wanaizungumzia hao?

Hao wanajikanganya sana Mara wanapigania katiba wakati huo huo wanaamini kwenye sheria za katiba ile ile wasiyoitaka

Muulize Mwabukusi ukishindwa mahakamani ,sheria inakuhitaji ukafanye vurugu na fujo

Muulize Mwabukusi alikuwa anaongelea serikali ipi?isije ikawa anaongelea serikali ya mtaani kwake
Kuna vitu unaviandika kwa hoja nyepesi lakini mimi naamini ndiyo babu zetu wakina Mangungo walikua wakizitumia katika kuingia mikataba na wajerumani.

Anaona huu mkataba ni wa miaka 999 kisha anaona haina shida mimi sitakuepo haina haja ya kuupinga.

Kuna usemi mmoja unasema hivi "Tukipata watu wakapanda miti na wanajua hawatakuja kukaa chini ya kivuli chake basi jamii yetu itakua imefikia lengo" kwa hoja zako upo radhi kuwaachia msala kizazi kijacho simply kwakua hautakuepo.

Inatia kinyaa hii hoja.
 
Hao wanaopiga kelele wanapigana na adui wasiyemfahamu vizuri,Na hilo ni kosa kubwa sana

Usianzishe vurugu na fujo bila kumjua unayepigana nae ni nani na yupo wapi na ana silaha za aina gani?

Nilisikia kuna watu wanapigania Katiba ,Nilicheka sana ,Katiba haipiganiwi bali inajipigania yenyewe

Ukisikia mtu anasema anawapigania watanzania yakupasa umcheke sana na sana ,Watanzania hawapiganiwi ,Watanzania watajipigania wenyewe pale kila mtu atakapoona kuna umuhimu atapigana wala hata hitaji mtu wa kumpigania

Ndio maana ukiitisha mgomo watanzania wanakuangalia tu kwani hawajakutuma ukawapiganie na wala muda wao wa kupigana wenyewe haujafika na hawaoni sababu ya kupigana

Juzi nilishangaa kuna mtu anasema anatupigania sisi wakinga pale kariakoo,Nilicheka sana na nikajiuliza hivi huyu mtu ndie alietuleta sisi kariakoo na kabla ya kuwa kariakoo ni nani aliyetupigania kule milimani kwetu Makete,kwa ufupi tulijipigania wenyewe pale muda ulipofika na kuwa pale kariakoo

Hao wanaopigania mkataba ufutwe ,Mkataba utajipigania wenyewe
Mkinga gani unakuwa chawa hiyo kazi waachi vijana wa kigoma mwijaku na baba levo
 
Kwa hiyo ni kazi ya sisi wabunge kuipigania Familia yako kweli?

Mkuu unafahamu kazi za mbunge na Bunge?
Kwa hiyo ukimchagua mbunge unamtuma bungeni akakupiganie Maji na barabara,Akikaa kimya kwa miaka mitano bungeni utaendelea kunywa maji machafu? Kisa mbunge unamlipa mshahara na hajaongea bungeni?

Kwa kuwa unalipa kodi ili mwalimu amfundishe mwanao,kwa hiyo ni kazi ya mwalimu kumlea mwanao kimaadili?

Eeeh hii kali ya mwaka,Mtoto umzae wewe halafu mwalimu akufanyie kazi ya kulea?kisa unamlimpa mshahara du!!!

Charity begins at home,Aanza kujipigania wewe kwanza ndio utawafanya wengine waone mwanga kutoka kwako

Mabadiliko huanza na wewe,Yatupasa sisi tuone toka kwako
Nathubutu kusema HUNA AKILI kwa Herufi Kubwa, wazazi wako wana hasara na km ulilipiwa Pesa za Ada na gharama na Serekali alafu unaandika ujinga huu basi Serekali imeingia hasara maana hapa hakuna msomi
 
Usichanganye mada zungumzia mada moja baada ya nyingine, alafu pangilia hoja zako vizuri sio unakua mropokaji mwisho unaonekana huna akili
Wewe ndio huna akili,Jibu hoja za mleta mada neno Information lina makosa gani kwenye barua ya Nape?

Wewe ndio mleta mada anawaita hamjui maana ya lugha
 
Ai
Wakijimilikisha bandari milele wewe binafsi unapungukiwa kitu gani mwilini mwako au kwenye maisha yako?

Uwepo wa bandari umewahi kukufanya uwe kama Bakhresa au Mo Dewji?

Wahindi walipokonywa umiliki wa majengo kule Posta na upanga ,Je baada ya wao kupokonywa na kukabidhiwa wadhawa wahindi wamekuwa maskini?

Ukiambiwa ukomo wa bandari miaka 90,Utakuwepo wewe ?Chukua miaka 90 jumlisha na umri wako ,Utakuwepo?

Ukomo wa vitalu vya madini ni kati ya miaka 20 mpaka 50,Je tangu waanze kuchimba ukomo umekupa faida gani binafsi kwenye madini?

Achana na hoja za wanasiasa hao wanatafuta political mileage,Usipokuwa makini watakuburuza kila siku wanasias,

Hushangai wale wabunge 19 wanajua katiba lakini hawataki kutoka bungeni ,Watu wapo kimaslahi
 
Back
Top Bottom