Nibozali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 572
- 1,055
Chama chetu kinapenda uwazi na ukweli hivyo kwa niaba ya wanalumumba ninaomba Uzi huu utumike kuweka hadharani wale wote wanaosemekana kudaiwa na Benki ya twiga na ambao wamesababisha benki hiyo kufirisika.
Hii itasaidia kuwaumbua wanasiasa wanaochangia kudidimiza maendeleo ya nchi yetu
Twende kazi wakuu
Hii itasaidia kuwaumbua wanasiasa wanaochangia kudidimiza maendeleo ya nchi yetu
Twende kazi wakuu