Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 8,366
- 10,394
Ngori ni niniNi ngori mkuu.
Ngori ni niniNi ngori mkuu.
Hayo ni mambo ya kawaida tu migo yanayotokea kila siku kwa hiyo usiwaze sana wewe endelea kufurahia la La Pulga.Mimi nakubali messi ni bora, kwangu ni namba 2 baada ya pele, kisha cr7 anaweza akawa wa 7 hivi ama wa 5..
Swali je, kwanini kuna matukio messi hapewi kadi, naikumbuka ile na holland alidaka mpira, kuna ile akiwa inter miami, mbaya zaidi juzi alimkanyaga mcjezaji wa algeria ile aio bahati mbaya, sababu marudio yanaonesha wakati anaemda kukanyaga macho yake yalikuwa kwenye miguu ya mwenzir, kwanini isiwe kadi nyekundu, je FIFA wanalinda heshima ya mwamba?
Yule ni Penaldo.Dah kwamba yule mwingine wa uongo au🤣🤣🤣
Imagine beki mwenyewe ni Mwamnyeto.Ukiwa beki halafu ukamwona Messi anampira basi ushuzi utakutoka tu hata kama hujala kunde.
😄😄😄😄Ukiwa beki halafu ukamwona Messi anampira basi ushuzi utakutoka tu hata kama hujala kunde.
😄😄Nimehifadhi majina yao kwa sababu za kiusalana.
😆😬CR7 yeye kabakisha kutema mate tu uwanjani kama mbugia ugoro.
Walichukua la leaguehapana alilia Ronaldo kamasi debe
Alilia Sana 🤣Sio kweli bhana yaani alie mpaka kwenye ligi ya Saudia🤣
Noma sana lile goli la kwanza the way alivyo ipokea ile pasi then ana turn around ana sogea hatua mbili halafu ana achia machine dahh yule jamaa mtu hatari sanaYale magoli yake na Algeria alikuwa anaanzisha movement mwenyewe
Ndio mpira Mzee utasema kwamba anabebwa !? Henry aliwahi kumshinda goli la mkono ndio France ikapata ticket ya kucheza kombe la DuniaHata VAR? Inafikirisha sana.
Mropokaji Pepe lazima awepo.Nimehifadhi majina yao kwa sababu za kiusalana.
Linadai eti huwezi kumfananisha Messi na Ronaldo kwa sababu Ronaldo ni kiumbe wa maajabu kama Alien.Basi mmoja wao atakuwa Pepe
Na mimi nasema nikimuongezea na Ramos.Hilo umesema wewe.
Hana ubavu huo.Neves anasema Joao Felix ni bora kuliko Ronaldo.Hivi kule Saudi Arabia amechukua tuzo yoyote msimu huu?
NAkumbuka yote hayo, nauliza VAR.. sababu inayo nafasi ya kuangalia mara ya pili na ya 3,Ndio mpira Mzee utasema kwamba anabebwa !? Henry aliwahi kumshinda goli la mkono ndio France ikapata ticket ya kucheza kombe la Dunia
Maradona alishinda Kwa kushika mpira
Hii michezo ya kuamuliwa na binaadamu michosho sana
Siku Portugal akitolewa Word Cup tujiandae na kilio cha dunia.Walichukua la league
Ila walikosa la ubingwa wa Asia ndio akalia 😬
Ana juhudi sana na ndiye mchezaji wa kireno ninayemkubali kuliko wote.Alilia Sana 🤣
To me licha ya kutompenda but was inspiration kuona jamaa licha ya kufanikiwa but still ana uchumi wakupata mafanikio zaidi so
So we must don't stop until we get enough
SawaNAkumbuka yote hayo, nauliza VAR.. sababu inayo nafasi ya kuangalia mara ya pili na ya 3,
Enzi hizo VAR haikuwepo, messi nae ana goli la mkono lakini sijalitaja sababu kipondi hicho issue ya VAR haikuwepo, sasa hivi kuna haja ya kuuliza sababu ya uwepo wa VAR