nsanzu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,929
- 5,769
Shenzy kabisa wewe, umefanya mpaka niache kula prawns wangukuna yale maduduwasha yanakaa miembeni yana rangi blue bahari na vidoti vyekundu wanakula pia
Shenzy kabisa wewe, umefanya mpaka niache kula prawns wangukuna yale maduduwasha yanakaa miembeni yana rangi blue bahari na vidoti vyekundu wanakula pia
Mimi huwa siyumbishwiShenzy kabisa wewe, umefanya mpaka niache kula prawns wangu
Hua nawapimia kibirizi walivyo jazana.Ole makala buchichi yangwene!!![]()
![]()
Tupo nao kibao huku kwetu...et Leo hii wanajifanya ndio wazawa wa Kigoma.!
Mapondo ni Ngadu-Crabs (wale wa mtoni wadogo weusi)
Makaku ni Nyani
Kima ni Kima tu, neo maana hapo wameandika KimaNa kima ni nini Mkuu? Ngedere?
Unanifaham lakini?Wewe mtoto wa juzi juzi tu. Historia huifahamu vyema
Mm ni mzaliwa wa hapo.!Maelezo yako yanaonesha, au wewe sio mwenyeji wa manispaa ya kigoma ujiji
Muha + mmanyema==Muha feki.Kwahio wewe ni mbembe, manyema au.....
Elewa mkuu.Kigoma ujiji , watu wenye asili ya hapo town ni manyema na wabembe ..... Waha sio wenyeji wa mjini hapo mkuu.
Wape hai wayege wote hukoCool
Sasa hv wamepungua sana maana ili ubebe boksi mpska uwe na div 4. Sasa wale wayege wa kahabwa na buronge wameishia kuchimba mchunga migazini na kufyatua tofali.Hahaaaaaaa....
Wayege nawakumbuka Kyle kibiriz miaka ya 1990....
