Wakongo wamezidi uroho.

Wakongo wamezidi uroho.

Sasa hv wamepungua sana maana ili ubebe boksi mpska uwe na div 4. Sasa wale wayege wa kahabwa na buronge wameishia kuchimba mchunga migazini na kufyatua tofali.
Hahahaaaa eti migazini....ukishaenda shule unasema chikichi.
Mkuu mondray unakifahamu kibombobombo??
 
Soko mutu bei yake iko juu kama kuku wa kienyeji. Si ajabu hawa wandugu kuugua magonjwa ya ajabu ajabu wanakula vingi.
 
Back
Top Bottom