Wakongo wamezidi uroho.

Wakongo wamezidi uroho.

Mahare ndiyo kitu gani? Sithubutu kuingia kwenye mgawaha wa mkongo na wala nyani wengine wote kwa kuhofia kula nyama ya nyani. Nasikia siku hizi kuna watu hasa majuu wanakula nyama ya mamba na wanaisifia sana kwa utamu.

Niliwahi kuingia kwenye mgahawa wa hawa jamaa, mahare yanachanganywa na dagaa wa kigoma. Lakini vitamu.
 
Wewe mbeya sana,duh.
Mimi muarusha sijawahi kufika hata iringa nikaringa!!!! Siku ile nilifurahi kuona kuna mtu anamjua vyema nikaamini story yake. Unajua siku hizi story za kutunga hapa JF zimetahamalaki
 
Kin au Kinshasa niliwahi kula ''makelele'' kule kwetu tabora tunaita ntororo watoto hutumia kutegea ndege aina ya ninga masika, watamu hao mwanzk niliona kinyaa baadae nikawa nagonga tu
 
Usiogope mkuu me nimekaa goma miaka9 ujue wacongo hawapend sana kufanya kaz so Kipind nafika nikaona fursa ni kulima hivyo miaka yote hiyo nilikuwa nalimama nyanya maji nashukulu zimenitoa!!!! So najikuta kama mcongo maana nauwezo wakuongea lingala kikasai na kikongo mkuu
 
Back
Top Bottom