Kiyoya
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,647
- 821
bilashaka hata neno nyerere asingethubutu litajaMkuu, wewe unafikiri angesemaje?
bilashaka hata neno nyerere asingethubutu litajaMkuu, wewe unafikiri angesemaje?
Long live Tanganyika!
Kwanini usjilaani wewe ambaye huchukui hatua yoyote kuibadili katiba ila unamlaumu marehemu aliyeondoka madarakani miaka 39 iliyopita na kufariki miaka 25 iliyopita?Mzee Nyerere ana mazuri yake ,lakini ameacha katiba mbaya mbaya kwa hili nampa laana
mbinguni ni makao ya watu ambako wataishi baada ya kufa kwa kuwa wameyafanya mapenzi ya Mungu duniani, kisha kustahili kukaa na Mungu katika raha ya milele. Yaani watu wanaupokea uzima wa milele.Huko mbinguni ndio wapi ndugu? Maana sie wengine wageni humu
Kwa nini mkuu?bilashaka hata neno nyerere asingethubutu litaja
Nyerere kaondoka zaidi ya miaka 25 sasa, tuliobaki tunashindwa nini kujitengenezea katiba nzuri itakayolinda haki na usalama wa kila mtu, tuangalie mbele, kwa sasa mchawi mkubwa ni CCM ndio inaturudisha nyuma na kutuongezea umaskini kila sikuMzee Nyerere ana mazuri yake ,lakini ameacha katiba mbaya mbaya kwa hili nampa laana
Yeye ni chanzo cha yote hayaMzee Nyerere ana mazuri yake ,lakini ameacha katiba mbaya mbaya kwa hili nampa laana
Mzee Nyerere ana mazuri yake ,lakini ameacha katiba mbaya mbaya kwa hili nampa laana