Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Hawa wengi wao ni wanafki wanaofaidika na wananchi kukandamizwa!! Ingekuwa ni dhidi ya viongozi wa serikali saa hizi wangekuwa wanashindana kutoa matamko.Wapo wapi mashekh, wapo wapi maaskofu, wapo wapi wachungaji. Kwenye tukio kubwa kama hili tulitegemea tamko kutoka kwenu. Ok wacha tuwaache na uongozi wa dini zenu. Sisi tumuombe muumba amponye mh Tundu LISSU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu mwema wa mbinguni atanponya Lisu si hawa wanafki
Cairo's