Wako wapi viongozi wa dini? Je hawaoni na hili au hakuna la kusema?

Acha unafiki wewe ni lini Lissu aliwatukana viongozi wa dini,kama kiongozi wa dini ni kweli sio mnafiki anaongoza dini hawazi gombana na wanasiasa lkn kama ni kiongozi mnafiki anaetetea udhalimu lazima wanasiasa wampe za USO.
Lissu ashatukana kila mtu isipokuwa MTEI na MBOWE !
 
DINI sio sehemu ya mihimili ya taifa. Ni fikra potofu kudhani viongozi wa dini wanayo last say katika kufeli kwa mifumo ya kisiasa. Natamani katika mifumo ya elimu masomo ya modern political science, uraia, sheria, na sociology yangekuwa yanafundishwa level zote kuanzia form one hadi masters na wanaofundisha wawe wataalamu waliobobea hii ingesaidia sana kuwatoa watu upotofu wa fikra.

Dini au imani ni sehemu ya maisha ya mwanadamu ila haijawahi kuwa sehemu ya Shughuli za kiutawala au siasa na popote ilipotumika huwa inafeli vibaya sana kwa maana lengo la dini au siasa sio ajenda ya kuongoza kundi la watu bali ni kuongoza nafsi ya mtu binafsi m'moja m'moja.

Kwasasa Tanzania jamii yake imefeli kuelewa maana halisi ya siasa na hii imetokana na kupoteza muda mwingi kufanya na harakati za mambo yasiyo na tija kwa taifa matokeo yake kila mtu anafanya la kwake na hatimaye tumefanikiwa kudororesha mfumo wetu wa siasa ambao huwa ndio unafanya watu wajue kesho wanaelekea wapi.

So nahitimisha tena kwa kusisitiza kuwa Dini au Imani haikuwahi na wala haitakuja kuwahi kuwa sehemu ya siasa aidha ya kijiji, kata, wilaya, jimbo, mkoa, kanda, taifa , wala mataifa. Bali dini au imani ni ajenda ya mtu m'moja na huhusika na nafsi moja ya binadamu.

Sasa ninyi mnaowazonga viongozi wa dini kuhusu tatizo la tundu lissu jua mnakosea na hampo sahihi kesho mkiona hawajibu mtaanza na wazee wa makabila yenu maana ndio kawaida ya watu waliofilisika sera.

SONY Xperia Z5 Premium
 
Wapo wapi mashekh, wapo wapi maaskofu, wapo wapi wachungaji. Kwenye tukio kubwa kama hili tulitegemea tamko kutoka kwenu. Ok wacha tuwaache na uongozi wa dini zenu. Sisi tumuombe muumba amponye mh Tundu LISSU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wala usiwaulizie!!!! wasije wakakosa buree kukaa viti maalum
 
Viogoz wadini wako bize kuiombea serikali iendelee kuteka nakutekeleza mauaji kwa wapinzani wake. Wakishamaliza kutekeleza matukio wanafiki wakubwa wantokeza kwenye Vyombo vya habari kukemea tukio akati wamelitekeleza wao. Mungu anawaona hata wao hawatadumu milele wapumbavu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wapi mashekh, wapo wapi maaskofu, wapo wapi wachungaji. Kwenye tukio kubwa kama hili tulitegemea tamko kutoka kwenu. Ok wacha tuwaache na uongozi wa dini zenu. Sisi tumuombe muumba amponye mh Tundu LISSU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesikitishwa na tukio la kupigwa risasi Mheshimiwa Tundu Lissu. Ni tukio linalopingana na misingi ya sheria za nchi (kidikteta). Bila shaka wakati wa ukombozi ukifika hata jiwe litapiga kelele, ninaamini wakati wenyewe haupo mbali. Ni ujinga na upuuzi kudhani kwamba matumizi ya silaha yanaweza kuzuia ukombozi. Wanaodhani hivyo wanakinzana na akili zao.

*Sheikh Ponda Issa Ponda*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wapi mashekh, wapo wapi maaskofu, wapo wapi wachungaji. Kwenye tukio kubwa kama hili tulitegemea tamko kutoka kwenu. Ok wacha tuwaache na uongozi wa dini zenu. Sisi tumuombe muumba amponye mh Tundu LISSU.

Sent using Jamii Forums mobile app

Si mnawatukanaga viongozi wa dini, sasa pambaneni wenyewe
 
mara nyingi walio kimbelembele katika kuzisema mamlaka ni ndugu zangu viongozi wa Kikristo.
kwa JK na Mwinyi walikuwa wanasema hovyo sana lakini kwa Mkapa na awamu hii wameufyata.
je, huu siyo "udini" (mfumo Kristo) ambao ndugu zetu Waislamu wanaulalamikia miaka yote?

mimi ni Mkristo niliyempokea Yesu tayari.

Hujui tu

Wanao pelekeaga hadi Serikari kupewa vibano na Maaskofu ni hao hao waislamu

Waislamu wanapo ona mkuu wa nchi ni mwislamu mwenzao huzidishaga vituko, na uvunjifu wa amani

Mifano yake ni hii apa:

  • Mara wagomee Sensa,
  • Mara wachome Makanisa,
  • Mara watake kuvunja mabucha ya Nguruwe,
  • Mara watake kuvunja Bar,
  • Mara waseme hawana imani na watumishi wakristo waliopo wizara ya elimu, wizara ya fedha, NECTA, kwenye mahakama, kwenye jeshi la polisi, magereza, usalama wa taifa, bunge la muungano na kumtaka Raisi ambaye kwa wakati huo ni mwislamu mwenzao awatoe,
  • Mara wazunguke nchi nzima kueneza chuki,
  • Mara waandamane na kufunga barabara bila kibali,
  • Mara wawatetee wahalifu wa makosa ya uaji na ugaidi,
  • Mara wakawaambie Wazanzibari kuwa matatizo yao yote husababishwa na wakristo kupitia Muungano,
Sasa katika hali kama hiyo usitegemee Maaskofu wakamchekea Raisi

 
Back
Top Bottom