Mlo wao ni makande mchana na usiku mpaka wemgine yanawakaba wamekuwa kama nguruwe wanakufaNilijuwa tu nyie ni wale watu wenye maisha mabovu na elimu Duni picha huongea mengi
Mlo wao ni makande mchana na usiku mpaka wemgine yanawakaba wamekuwa kama nguruwe wanakufaNilijuwa tu nyie ni wale watu wenye maisha mabovu na elimu Duni picha huongea mengi
🤣 🤣 🤣 🤣 ila hii ya kuzimiana mitandao ya kijamii ni ushamba uliopitilizaHiki ndicho kinachokwenda kutokea, Amiri Jeshi wetu Mkuu aliitangazia dunia, uchaguzi utakuwa huru na wa haki, amani itatawala, na mshindi ndiye atatangazwa mshindi!.
Hatuutaki ule uhuni wa watu fulani zile chaguzi za nyuma, mtu aliyeshindwa anajitangaza alishinda kura zake zikaibiwa!.
Safari hii ni anayashindwa akubali kushindwa na kumpongeza mshindi.
P
Ndio kitu gani hiko hata sikifahamu....usikose kwenda kumpa kura za kishindo JPM.
Congratulations in advance President Magufuli
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Kabisa mkuu hatimaye nimefanikiwa jambo letuMlo wao ni makande mchana na usiku mpaka wemgine yanawakaba wamekuwa kama nguruwe wanakufa
Ila waTZ bhana eti nmetoka kumuumiza Lissu hahahhaa. Sasa unadhani mkiteseka miaka 5 mingine huyo Lissu atahustle kma ww?Tayari nishatoka kumuumiza Lissu.
#JPM mitano yake ipo tayari.View attachment 1614264
CCM Hoyeeee.Wako bize wanahamasisha makada wao wakapige kura! Nyumba kwa nyumba kitanda kwa kitanda! Twita hakuna wapiga kura! Tutakutana kesho kufurahia ushindi wa kishindo
OyeeeeeeeeCCM Hoyeeee.
Mayala unajidharaulisha uzeeni. Kuijenga heshima ni kazi sana, lakini kuipukutisha hakuhitaji muda.Duh...!, Mkuu komanyahenry , unazungumzia upinzani kushinda?, upinzani upi huo wa kushinda na wa kumshinda nani?!. Kuna watu wa kuwashinda ni wale wa kushindwa!, ugombee na wasioshindwa halafu utegemee kushinda!, hiyo ni ndoto!.
Wewe bado unasubiri matokeo?!, mbona wenzio tumeishayatangaza matokeo toka jana!,
PUchaguzi 2020 - Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu
Wana JF, Maadam JF ni ukumbi wetu, na sisi humu JF, tuko members wengi, na tumefanya mengi, hivyo mimi member mwenzenu Pascal Mayalla, naomba niwe wa kwanza, kuwajulisha wana JF wenzangu, ili kuwapa ile JF advantage ya wewe kama Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio inakwenda kushinda...www.jamiiforums.com
Kabisa.... ngoma iachwe iwe free and fair. Mshindi atangazwe na sio kutumia dolla. au kuzima mitandaoHiki ndicho kinachokwenda kutokea, Amiri Jeshi wetu Mkuu aliitangazia dunia, uchaguzi utakuwa huru na wa haki, amani itatawala, na mshindi ndiye atatangazwa mshindi!.
Hatuutaki ule uhuni wa watu fulani zile chaguzi za nyuma, mtu aliyeshindwa anajitangaza alishinda kura zake zikaibiwa!.
Safari hii ni anayashindwa akubali kushindwa na kumpongeza mshindi.
P
Stupid is what stupid doesHizo ni propaganda chafu za Chadema
Stupid is what stupid doesView attachment 1614450
Washapokea buku saba jero yao maana kazi imeshaishaNiko kituoni na washirika wenzangu muda sasa. Kimya kimya lakini hamasa kubwa moyoni.
Iziraeli atupishilie mbali.
Tunataka haki. Inshallah kutokana na haki amani hapa itatamalaki tu.
Sala zetu kote haki na ikatendeke tukiwakumbuka wale wote waliotutangulia kwa kusimama na haki.
Nimekuwa naangalia nyuzi mbali mbali tangia jana, hata huko kwenye mitandao mingine ambako bila VPN ni kweusi. Ma lb7, mataga na mshabiki nguli wa chama mboga mboga wote wamepotea.
Au labda hawataki kutumia VPN kuitikia mapenzi ya chama chetu? Au nao ni mshabiki wa hii mitandao kupotea ikibidi moja kwa moja?
Eeh mola wetu mshindi na akatangazwe mshindi.
Amani na ikawe na kila mpenda haki.
Tunayo siku ndefu leo inshallah.
we shoga jiandae kufumuliwa mtaro usiku
Mbona unaharaka hivyo kulikoni! Mashoga hawana nafasi Tz! JPm ndio mpango mzima!unajua uhuru wa faragha una maanisha nini?
kama hujui CCM ndo wapitisha sheria bungeni na hiyo sheria ilipitishwa na CCM kwa hiyo jibu ni kwamba CCM ndio inafadhili ushoga.