NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 23,998
Sawa mwamba.Kuna mpuuzi hapa asubuhi ananiambia katoka kumpigia magufuli huko kanda ya ziwa ilihali nafahamu kabisa alikua na vigezo ila kanyimwa mkopo na pia hta akimaliza hiyo degree hana uhakika wa kupata mtaji (Kupitia zile 10% za halmashauri) ama kupata ajira sababu Private sector imekufa na serikali imeshindwa kuchochea uchumi.
Then najiuliza nyie watu mnajitambua kweli? Na sio ww tu ni waTZ kibao unakuta kapigika haswaa ila bado ni CCM? Fikiria wakulima waliopigika wa korosho, pamba, wafugaji huko meatu n.k huna ndugu huko? Huna ndugu mkulima ambaye anategemea jembe na serikali yenu imeshindwa kabisa kumsaidia kuattain kilimo cha kisasa? Huna ndugu kabisa aliyeumia na sera mbovu za kilimo?
Well uwe msafirishaji bidhaa nje, hivi kuwa mkweli tu mauzo yameshuka kuliko awamu iliyopita kwa mujibu wa takwimu za BOT. Sasa ww umeathirika pia ila unaenda mpigia kura Magu then tusikie siku mnakuja kulalamika hapa cjui TRA cjui mauzo cjui bureaucracy mpakani na blah blah zingine.
Kwa mentality hizi tutatawaliwa na CCM mpaka Yesu anarudi afu tutakuwa tunatafuta mchawi ni nani wa umaskini wetu.
Ila sasa Lissu hajathibitisha wala wewe umeshindwa kabisa kunithibitishia kwamba Lissu akiwa Rais masikini hawatakuepo na watu wote watapata kazi nchi nzima.
Au ungenipa hata kamfano kadogo kwa nchi za Africa zote zilizoshikwa na vyama pinzani mambo yapoje kwa sasa,tukianzia na hapo jirani Kenya,Zambia n.k?