Quavohucho
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 949
- 2,247
Kabisa , na kuna mda utafika unapuuzia tuMuda mwingine Majukumu yakibana mtandao utaweka pembeni
Maisha ni maua!Walikua maarufu sana hasa Twitter x" na Telegram,miaka ya 2021 mbaka 2024?
:Asha zungu
:Sauda Bubu
:Linda amossi
:Yanga girl
:Mona deus aka slim lady,
:Sy kivuluge
sijapata kabisa kuwaona si mtaani wala mitandaoni!
Na hata content utapata zile zile za zamani!
Je kuna mtu anaweza kujua wako wapi Hawa!
Nb: Slim thick Mary nasikia aliolewa na mtt mwingine,
Mwenye info please
Kusoma mawazo ya watu kwenye social na kuwa active sana mda mwingine kuna athiri kisaikolojiaSasa mkuu kichwa kinawasha unakuna mgongo ? Si ungeenda huko huko kuwaulizia ?
Nikuambie kitu... haya maisha ya mitandao watu wanabadilika kulingana na mazingira na nyakati.... mtu anaweza kuwa na account flan makhususi kwa ajili ya jambo fulani....akikamilisha anaitelekeza...ama ana-deactivate......hata humu jf kuna watu wana account zaidi ya 5, kuna watu pia wana account za zaman waMezitelekeza... ama zina matukio wanaamua kufungua mpya...
Humu kwenye mitandao unachati na dume jenzio unadhani Dem unaanza kujibebisha.... utalombwa
Walitupa dhambi sana Hawa raia miaka hioKwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.
Mhubiri 3:1
Hawa walifanya kila mtu x na Telegram awe addicted nao wengine kimya kimya Kama ngweaKusoma mawazo ya watu kwenye social na kuwa active sana mda mwingine kuna athiri kisaikolojia
Labda sauda Bubu wengine hao fresh!Umeme mzee umeme!
Toka 2015 nipo x sijawahi ona I'd za hawa unaowatajaHawa walifanya kila mtu x na Telegram awe addicted nao wengine kimya kimya Kama ngwea
True! Kabsa Ila Hawa hata mitaani kwao hawaonekani kabisa!!Sasa mkuu kichwa kinawasha unakuna mgongo ? Si ungeenda huko huko kuwaulizia ?
Nikuambie kitu... haya maisha ya mitandao watu wanabadilika kulingana na mazingira na nyakati.... mtu anaweza kuwa na account flan makhususi kwa ajili ya jambo fulani....akikamilisha anaitelekeza...ama ana-deactivate......hata humu jf kuna watu wana account zaidi ya 5, kuna watu pia wana account za zaman waMezitelekeza... ama zina matukio wanaamua kufungua mpya...
Humu kwenye mitandao unachati na dume jenzio unadhani Dem unaanza kujibebisha.... utalombwa
Hao ni special ordersToka 2015 nipo x sijawahi ona I'd za hawa unaowataja
OkHao ni special orders