Mbepo yamba
JF-Expert Member
- Aug 5, 2012
- 1,110
- 1,475
Wazee wenzangu habarini na amani iwatawale
Ni muda kidogo umepita sijawaona humu jf kwenye majukwaa mbalimbali watu hawa.
Mzee Tupatupa
Ritz
Mwanakijiji
Jack Bauer (kama sijakosea uandishi wa jina lake)
Na wengine wote ambao ama michango yao kwenye nyuzi anuai humu au nyuzi wanazoanzisha wao ilikuwa moto sana.
Tuwatag na wengine waliopotea turejeshe ule ukali wa hoja kwenye majukwaa haya
Ni muda kidogo umepita sijawaona humu jf kwenye majukwaa mbalimbali watu hawa.
Mzee Tupatupa
Ritz
Mwanakijiji
Jack Bauer (kama sijakosea uandishi wa jina lake)
Na wengine wote ambao ama michango yao kwenye nyuzi anuai humu au nyuzi wanazoanzisha wao ilikuwa moto sana.
Tuwatag na wengine waliopotea turejeshe ule ukali wa hoja kwenye majukwaa haya