Wako wapi hawa watu?

Mbepo yamba

JF-Expert Member
Aug 5, 2012
1,110
1,475
Wazee wenzangu habarini na amani iwatawale

Ni muda kidogo umepita sijawaona humu jf kwenye majukwaa mbalimbali watu hawa.
Mzee Tupatupa
Ritz
Mwanakijiji
Jack Bauer (kama sijakosea uandishi wa jina lake)

Na wengine wote ambao ama michango yao kwenye nyuzi anuai humu au nyuzi wanazoanzisha wao ilikuwa moto sana.

Tuwatag na wengine waliopotea turejeshe ule ukali wa hoja kwenye majukwaa haya
 
Wazee wenzangu habarini na amani iwatawale

Ni muda kidogo umepita sijawaona humu jf kwenye majukwaa mbalimbali watu hawa.
Mzee Tupatupa
Ritz
Mwanakijiji
Jack Bauer (kama sijakosea uandishi wa jina lake)

Na wengine wote ambao ama michango yao kwenye nyuzi anuai humu au nyuzi wanazoanzisha wao ilikuwa moto sana.

Tuwatag na wengine waliopotea turejeshe ule ukali wa hoja kwenye majukwaa haya
Wamepewa asali wametulia

USSR
 
Wazee wenzangu habarini na amani iwatawale

Ni muda kidogo umepita sijawaona humu jf kwenye majukwaa mbalimbali watu hawa.
Mzee Tupatupa
Ritz
Mwanakijiji
Jack Bauer (kama sijakosea uandishi wa jina lake)

Na wengine wote ambao ama michango yao kwenye nyuzi anuai humu au nyuzi wanazoanzisha wao ilikuwa moto sana.

Tuwatag na wengine waliopotea turejeshe ule ukali wa hoja kwenye majukwaa haya
Tafuta hela wewe na ujali maisha yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom