Wakiristo hawajui kupika vyakula vitamu?

Wakiristo hawajui kupika vyakula vitamu?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,508
Reaction score
12,722
Ndio maana wakati wa mwezi wa Ramadhani wakipenda kualikwa ktk ftari za waislam. Ukiwaalika wanafurahi sana na unawaona kwamba wanakula vyakula ambavyo kwao wanavipenda na hawavipati ktk familia zao

Na wakati wa sikukuu kama Idd hapo useseme
Wanapenda
1. Vileja vya tambi
2. Keki
3. Katie's
Nk
Ni ukweli uliowazi wakiristo wengi maneno mengi tu lkn katika kupika vyakula vitamu ni 0.
Karibuni kula skukuu kwangu, ule vyakula vitamu
 
1738852660847.jpg
 
Ushasikia mtu anasema yule mama/dqda ana mkono wa kusuka au kupika au mkono wa kupangilia nyumba kwa maana ya kuiremba, au mkono wa chumvi.

Kuna wanaorithishwa, yaa upishi uko kwenye damu, mnapika wote hapa na hapa na vifaa wote sawa, wali harage tuu ila ukila wali wake unakaa kwenye mkeka ukomboreze na ukoko.

Kuna wanaopenda kupika, hawajui, wanajifunza kwa nia hadi wanajua na wanakuwa mafundi.

Kuna wanaopikq mradi wasilale njaa.

Cooking is an art being a Christian or Muslim.
 
Back
Top Bottom