zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,832
- 8,623
Haitoshi hiyo, wasuse posho za vikao na mishahara wasichulue!
aiseeeeeee!!!!!!!!!!!1
sijui unakatatizo ketu kale????
Haitoshi hiyo, wasuse posho za vikao na mishahara wasichulue!
Jioni ya leo ktk kikao cha kwanza cha bunge, wabunge wote akiwamo zito wametoka ukumbini kupiga hoja ya mabadiliko ya kanuni za bunge kuhusu muundo wa kambi ya upinzani, haya siku ya kwanza moto ushaanza kuwaka
Wanataka kuwachanganya na SISIEM B CUF ili uchakachuaji wa hoja uwe rahisi!!!!!!!!!ccm kwa nini wanalazimisha ushirikiano? kwani wao ni wapinzani?
sidhani kama hiyo hatua inaleta tija yoyote kwa wananchi wa kawaida
Tumeshajua CCM ni wababe na wameshika mpini, pia tukumbuke kuna akati hata tanu walishiriki uchaguzi wakijua si huru wala haki ili kuwa-surprise wakoloni.... basi tujifunze kutolerate differences
CHADEMA wangebaki, waungane na wapinzani na waanze ku-lobby kufikisha agenda yao na hata ikibidi kufanya vikao vya mara kwa mara... kumbukeni wanasiasa wote ni wanafiki hivyo basi kubadilika isingekua tabu as long as keki imewekwa mezani na kila mtu anajua mwenzake kapata kipande ngapi
Jamani nijuzeni alipoanza mh mbowe kuongea tanesco wakachukua chao...
Hivi haya ya kugombania madaraka ya kambi ya upinzani ndiotuliyo watuma huko bungeni?
Kawaulize sisiem kama walitumwa kwenda kudikiteti masuala ya upinzaniHivi haya ya kugombania madaraka ya kambi ya upinzani ndiotuliyo watuma huko bungeni?
Naskia wamerudi.
Posho vipi watasusa?
Wasiishie kutoka tu bungeni pia na posho zake pia?
Mhhhh! haya yali semwa haya kwamba kuna vyama viko tayari kymwaga damu ilmradi wao waende ikulu, vyama kama hivi sijui, nani yuko tayari kupoteza roho yake ilimradi tu CDM waende ikulu??? :A S 20::A S 20::A S 20:Safi sana,hivi watanzania mnajua hii nchi inahitaji machafuko ili tuwatoe hawa CCM.I'm sorry to say this but seriously speaking kuna viongozi wa chama tawala wanaohitaji kufyekwa watoweke duniani.Tumechoshwa na upuuzi wao
Mawazo yako ni kwenye posho tu??