ChescoMatunda
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,232
- 442
Sasa Naamini hatukuwahi kuwa na upinzani Bungeni kabla Ila sasa ambapo Chedema Imeonyesha upinzani Dhahiri hadi Sisiem wameona wabadili na kanuni za bunge Letu wananchi wa Tanzania, kuna mengi Hawabadili Ila wameona hili la kubadili kanuni ni mhimu waanze nalo kwakuwa ndilo lenye maslahi kwao, pili Hakuna upinzani imara uliofanikiwa kwa kuunganisha vyama kwa vyama angalieni hapo jirani zetu kenya pamoja na kuchukua dola kwa muungano wao wa vyama hawakufanikiwa kitu zaidi ya kuongeza machafuko tuu hata muungano ya kivyama Zanzibar ni Furaha za muda tuu ila nasema kwa nia njema sio sipendi zanzibar wakiungana hapana ila naamini muungano wa kivyama hauwezi dumu sababu kila chama kina mwelekeo na matakwa yake ambayo naamini ni tofauti na chama kingine kama kuna muungano basi uwe ni wa wanachama wote na wakubaliane kuua chama kimoja, kitakachotokea Zanzibar ni kufa kwa chama kimojawapo au cuf ama ccm Muda ndio utaamua angalieni kwa makini Hongera Chadema kwa kupinga kanuni wa upinzani kuungana kwa lazima Bungeni, Naungana nanyi kwa hilo japo si mwananchama.