Papaah
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 2,893
- 4,266
Wanakarbishwa kufanyaje?...
Wanakarbishwa kufanyaje?...
Kutoa povu...🤣Kujionea kiingilio bure
😁😁 Usinicheke mkuu niambie
Mimi sijui Huwa wanaonyesha Nini mkuu tumsubirie jamaa hapo alete majibu😁😁 Usinicheke mkuu niambie
Dah ! 😂 🤣 😂 🤣 bange mbaya sana
We kwa akili yako unaamini hiyo?
NARUDIA TENA kuliko kuwa mfuasia wa dini inayo amini kuua ni ibada bora niwe mkristo safi huku nikishushia kitimoto yangu ya kuchomaKuna dini ambayo watu wake wameua watu wengi na wanaendelea kuua watu wengi kuliko ukristo?
Tumia CRAAP technique kujibu hili swali usije kama umetoka kula kitimoto nataka data sio ngonjera
Mkristo saf ni yupi? Kwan hakuna waislamu safi?NARUDIA TENA kuliko kuwa mfuasia wa dini inayo amini kuua ni ibada bora niwe mkristo safi huku nikishushia kitimoto yangu ya kuchoma
Kuhangaika na dini ni sawa na kukimbiza upepo.
😂😂, Sidhani kama ni kobaz.Kumbe Mbaga Jr ni kobazi tukufu 🤣
💪🔥