Wakiona hii waislamu wenye msimamo mkali

Wakiona hii waislamu wenye msimamo mkali

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,137
Reaction score
33,549
FaizaFoxy ,Lucha Mnakaribishwa kutoa mapovu
20251208_102954.jpg
 
Tatizo kubwa la hizi Imani zilikuja na meli ni Extremism that said pande zote mbili hazina tofauti - UDINI hauna Imani ni fikra finyu na pande zozote zinaweza kuwa hivyo
 
Kwani siku hizi muislamu wa siasa kali kama anatumia Tiktok ni lazima atakuwa analia kila siku. Uongo na Ushenzi wote wa Itikadi kali unafichuliwa kupitia Tiktok
Huwa Wana onyesha nini !?
 
Kuliko kubaki kwenye dini inayo amini kuua ni ibada bora kuwa mkristo hakika kabisa
Kuna dini ambayo watu wake wameua watu wengi na wanaendelea kuua watu wengi kuliko ukristo?

Tumia CRAAP technique kujibu hili swali usije kama umetoka kula kitimoto nataka data sio ngonjera
 
Back
Top Bottom